radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
Mbona umetoka kwenye mada kuu? Umesema cty hawana kikombe nimekuuliza kikombe gani unamaanisha?
Nipo humo humo mkuu changanua vizur tu ukitoka kwenye better si ni best hapo kuna mafanikio ukishakuwa na mafanikio tayar ushakuwa mbona simple tu.