Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,550
- 2,753
The lie game.
Ni mchezo wa uongo au kudanganyana, kulishana matangopori 😀😀.
Lengo ni kuenjoi tu na si vinginevyo.
Comment kitu Cha uongo then utajibiwa Cha uongo zaidi.
Mfano;-
"Nilipokuwa nasoma walimu waliniogopa kiasi kwamba wakitaka kuongea na mimi hunyoosha kwanza vidole😂😂"
Ni mchezo wa uongo au kudanganyana, kulishana matangopori 😀😀.
Lengo ni kuenjoi tu na si vinginevyo.
Comment kitu Cha uongo then utajibiwa Cha uongo zaidi.
Mfano;-
"Nilipokuwa nasoma walimu waliniogopa kiasi kwamba wakitaka kuongea na mimi hunyoosha kwanza vidole😂😂"