Class Struggle: Classes emerge only at a certain stage in the development of the productive forces and the social division of labour, when there exists a social surplus of production, which makes it possible for one class to benefit by the expropriation of another. The conflict between classes there begins, founded in the division of the social surplus, and constitutes the fundamental antagonism in all class. As capitalism was just beginning to create itself, Karl Marx and Fredrick Engels explained the processes they had witnessed:
Mmebadili heading? I thought our base was panya road. Naona tunahama taratibu. Sina shida na uwanda wa class struggle ila kuwatumia panya road ndio ilikuwa ugomvi wangu. Ukiniambia kuhusu wakulima na wafanyakazi nitakuelewa lakini si wahalifu. Hakuna class ya wahalifu inayotambuliwa popote katika mazingira rasmi. Uhalifu ni uhalifu na wala si class struggle.
Na hujanijibu. Unapunguzaje pengo la kipato kati ya hizi class (si panya road)? Dont be pathetic and try to empathise with my personality and understanding. Just be objective to the topic
Very Good!
Naona sasa unakuja taratibu, ingalau umeanza kujiweka katika uwanda wa ku analyse hizo classes.
Kama nilivyosema mwanzoni kuna class ya
bourgeouise, yaani tabaka la wahodhi uchumi(wakisaidiwa na watawala) na
proletariats(tabaka la watawaliwa, wananchi hohehae).
Hata ndio matabaka yanayoanza kujitokeza kwa kasi sasa hivi.
Ndiyo kuna peasants(wakulima), lakini sana sana wanaingia katika kundi hili la wanyonge.
Na kama ulivyogusia tofauti zao kubwa ni katika umiliki wa the weth production process, wakati
bourgeouise ni mmiliki wa hizo production forces,
proletariat ni mshiriki tu katika production process(ana milikiwa) .
Sasa bila kuwa na hadithi nyingi, tukienda moja kwa moja kwa Panya Road(area ya interest), huyu ni RESULT ya mmilikiwa katika production process yaani hao Panya Rd ni sons and daughters of the proletariats, the poor!
Sasa kama uanfikiri suala ni as simple as malezi bora tu, you are dead wrong, maana tatizo ni kubwa zaidi.
Hawa Panya Road baba na mama zao pengine hawana kazi, hawana matunzo ya afya bora, hawana ardhi ya kumiliki, hawaoni manufaa ya shule kwa vile umasikini uliokithiri umewaandama, na si ajabu hata leo tatizo la kwanza ni mlo wa siku.
Huyu ndo mtu unayefikiri Kova anaweza kumcontrol?
Never, they are far beyond caring.
Panya Road ni kielelezo cha matokeo mBaya ya the emerging class divisions/struggle nchini lwetu.
Mwenye nacho anataka cheap labour for higher yields wakati asiye nacho anataka mlo wa leo at good wages, na afya bora pamoja na matuzo kwa familia yake.
This is where the class struggle manifests.