Rapture Man
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 439
- 145
Kwani kuna shida gani kuwa na dunia na dini moja,...just to start with.
Changanya Islam, Christianity, Buddhism, Hinduism, Atheism upate dini moja. Utaiitaje? Simply FALLACY.
Kwani kuna shida gani kuwa na dunia na dini moja,...just to start with.
mbona jina la Diamond silioni humu?
Mleta mada hujawahi kufiwa?
Changanya Islam, Christianity, Buddhism, Hinduism, Atheism upate dini moja. Utaiitaje? Simply FALLACY.
Nic, nimefuatilia agenda za Illuminati tangu miaka ya 1996 hadi sasa. Hili ni kundi lenye agenda maalumu. Moja ya agenda kuu kwao ni kuleta New World Order (One world religion, One world government). Pia kwa mujibu wa maandiko matakatifu - Biblia - hawa jamaa watafanikiwa katika hilo lengo. Nia yao ni kwamba wafanikishe ndoto ya One World religion kabla Kanisa halijanyakuliwa. Ila bahati mbaya kwao, 'to their dismay', watachelewa maana watafanikisha hilo wakati ambao Kanisa (Christians) litakuwa halipo ulimwenguni-litakuwa limenyakuliwa. Tafuta kitabu 'He Came to Set the Captives Free' kilichoandikwa na 'Rebecca Brown MD' ujionee hawa jamaa wako vipi. Pia tazama mikakati yao katika You Tube.
Mkuu Nicholas, wewe ni mtu makini sana na huwa una michango na hoja za nguvu hapa jukwaani, lakini nasikitika kuwa umenaswa kwenye propaganda hii.
Naomba nikuulize swali, uliamini katika kile kilichoitwa kikombe cha babu?, did you think it was real and efficient?, kwa nini kilipigiwa chapuo sana hadi na viongozi wa serikali?, kama ilivyokuwa kwenye hilosuala la kikombe, Freemason na Illuminat hizo ni njia tu za kuwahamisha watu watoke kwenye mijadala mikubwa na ya muhimu ili washinde wanajadili freemason, ili tawala zipumue.
Naomba nikupe zoezi dogo, chunguza vyombo vya habari au watu wanaoeneza habari za freemason ni wa mrengo gani.
If it was a secret society, you wouldn't know and say here it was a secret society.
And if you know and say here it is a secret society, it's not a secret society.
Kama huko sahihi kwa Michael Jackson sina sababu ya kufikiri uko sahihi kwingine kokote huko.
Huwa najiuliza kila siku bila kupata jibu_kila mtu mwenye mafanikio i.e mahela,mijumba,akili mingi,madaraka makubwa eg,..Obama,Bush,Karl Max,Bill Gates,Steve Job(r.i.p),Papa,..etc,etc,etc wanahusishwa na hawa jamaa...Na hata mataifa makubwa na yaliyoendelea kama Marekan,Urusi,Ubelgiji,Uingereza etc,etc nayo yanahusishwa na hawa jamaa...sasa huyu Mungu wao ni more powerfull kuliko wa kina yakhe huku ambaye ni wao hao hao waliyemleta na kutukaririsha na kutuachia tunaimba nyimbo zake na kuana wenyewe kwa wenyewe huku wao wakiwa wamemuacha na kuja na injili/Mungu ingine in tghe name DEMOKRASIA....!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?????????????????????????
Kama Mungu wao ana nguvu then huyo ndio wa kumfuata_mbona walipokuja na hizi hadithi za wayahudi na waarabu walisema Mungu wetu waaafrika ni dhaifu kuliko wao na sisi tukaamua kumfuta wao sababu ana nguvu kuliko wetu.
Kwa hiyo kuna hoja ya kumfuata huyo Mungu wa illuminat sababu anajibu maombi yao na ana nguvu_right..?
Sidhani km wote wa mabilionea ni Illuminati..wengine pia wanaweza chafuliwa au hata umbuliwa km Sita km CDM....AU NApe na CCJ.....
Swali lao ni km Mtu aulize kwanini ktk kila sacred areas za tamaduni yeyote duniani Uislam umeingiza mbegu yake na Sasa wanadaia haki ktk hizo Tamaduni....ulizia Kwa wahehe na mkwawa,ulizia urambo, ulizia India Taj Mahali ilipo ni ktk sehemu atkatifu ya wahindu, ulizia Jerusalem msikiti wa Al Aqsa upu juu ya Hekalu ya wayahudi, Ulizia Princes Diana na Issue ya Dodi, Ulizia New York baada ya Twin Tower waislam walikuw akitaka jenga Kituo cha utamaduni..Ulizia utawala wa kifalme wa Uganda..na Ulizia Thailands kw wabudha,Afghanistani kwa wabudha....ulizia LA qaabah na wapagani....Ukristu wenyewe uliotoka ktk udhiafu na Kundi la masikini baada ya Wagiriki kuukubali na kutumia elimu yao kuendeleza, na baadaye warumi waliokuwa na jeshi Km Marekani ya Leo waliukubali na kutumia mamlaka yao kuulinda ....Ukristu wa Leo una mahusiano sana Nguvu za US....na kwa taifa ,imani, hata bishara yoyote itapenda ipigania nafsi ya marekani ili sasa watembelee ivuli ch amarekani ktk dunia....
Mkuu Nicholas, wewe ni mtu makini sana na huwa una michango na hoja za nguvu hapa jukwaani, lakini nasikitika kuwa umenaswa kwenye propaganda hii.
Naomba nikuulize swali, uliamini katika kile kilichoitwa kikombe cha babu?, did you think it was real and efficient?, kwa nini kilipigiwa chapuo sana hadi na viongozi wa serikali?, kama ilivyokuwa kwenye hilosuala la kikombe, Freemason na Illuminat hizo ni njia tu za kuwahamisha watu watoke kwenye mijadala mikubwa na ya muhimu ili washinde wanajadili freemason, ili tawala zipumue.
Naomba nikupe zoezi dogo, chunguza vyombo vya habari au watu wanaoeneza habari za freemason ni wa mrengo gani.
Wapo kundi lenye uelewa wa juu_sababu wanataka watutawale kirahisi...moja ya fimbo wanazotumia ni dini na hasa hizi Abrahamic_get it..?
Yawezekana Iluminati wapo.Lakini ya kwamba karibu watu wote maarufu ni Iluminati na kwa kufiwa kwao ndio wameua hiyo inatia mashaka makubwa.Devil you are a liar.
Inasikitisha kuona wanacheza ngoma wasioijua.Ahsante mkuu kwa kuwaelewesha hawa watu...
These guys wanapenda umarufu,power, na hela....