The dirt paka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 371
- 66
Napenda kuudedicate wimbo huu kwa wanaJF wote mtakaotoka out na wapenzi wenu wapya leo Easter2011.
Verse 1
SAJINA :
Umechagua adhabu ya kujiua,
Iweje sumu umezee maziwa,
Si ndoto alinacha unajua,
Kwahuu wimbo nakupa ukweli,
Umependa mwenyewe kuwa njiwa,
Wivu wa nini kwa ng'ombe anayekamuliwa,
Ukawaridhisha wazazi kwa kuolewa,
Ukaniacha mwenye upendo wa kweli,
Najua sio kosa lako, Najua ni wazazi wako,
Najua mi chaguo lako,
Ila kwanini unikosee...!*2
SAJINA :
Chorus:
"SITAKI TENA KUUMIZWA,
NAMI SITAKI KUMUUMIZA MWENZANGU"*4
SAJINA :
Verse 2
Mmmmh! Aaaah! Mmmmh!
Kama kuvaa na kung'aa mamaa,(mamaa)
Kwabinadamu ni sawa,
Na kama ukinipa salamu wala sitoikataa,
Usinigande usinigande ka luba,
Wazazi wako uliwaona wako sawa,
Sitaki kumuumiza huyu mwenzangu,
Sitaki uumize moyo wangu,
Ni Sajina yule yule,
Na moyo ule ule,
Ni mimi yule yule,
Ulomtupa jongoo na mti wakee...!
SAJINA :
SITAKI TENA KUUMIZWA,
NA MIMI SITAKI KUMUUMIZA MWENZANGU, *4
LINA :
Najua sisitahili kufutwa machozi,
Japo sikuyasababisha mwenyewe,
Najua hustahili kuendelea toa machozi,
Japo naumia kuona tayari unamwingine,
Kwamiguu yangu sikuondoka,
Nilisukumwa wakafanya nipotee,
Moyo wangu bado unaishi kwakoo,
Huku ugenini upo mwili pekeeee...!,
Naumia,
Nalia.
NAumiaaa...!
SAJINA :
Najua sio kosa lako,
Najua ni wazazi wako,
Najua mi chaguo lako,
Ila kwanini unikosee!
SAJINA :
SITAKI TENA KUUMIZWA,
NAMI SITAKI KUMUUMIZA MWENZANGU,*4
* * *
Jamani wanawake mnashindwa kustand for true love?
Ona dogo Sajina anavyolalamika, na huyo Lina anavyobembeleza.
Najua mi chaguo lako,
Verse 1
SAJINA :
Umechagua adhabu ya kujiua,
Iweje sumu umezee maziwa,
Si ndoto alinacha unajua,
Kwahuu wimbo nakupa ukweli,
Umependa mwenyewe kuwa njiwa,
Wivu wa nini kwa ng'ombe anayekamuliwa,
Ukawaridhisha wazazi kwa kuolewa,
Ukaniacha mwenye upendo wa kweli,
Najua sio kosa lako, Najua ni wazazi wako,
Najua mi chaguo lako,
Ila kwanini unikosee...!*2
SAJINA :
Chorus:
"SITAKI TENA KUUMIZWA,
NAMI SITAKI KUMUUMIZA MWENZANGU"*4
SAJINA :
Verse 2
Mmmmh! Aaaah! Mmmmh!
Kama kuvaa na kung'aa mamaa,(mamaa)
Kwabinadamu ni sawa,
Na kama ukinipa salamu wala sitoikataa,
Usinigande usinigande ka luba,
Wazazi wako uliwaona wako sawa,
Sitaki kumuumiza huyu mwenzangu,
Sitaki uumize moyo wangu,
Ni Sajina yule yule,
Na moyo ule ule,
Ni mimi yule yule,
Ulomtupa jongoo na mti wakee...!
SAJINA :
SITAKI TENA KUUMIZWA,
NA MIMI SITAKI KUMUUMIZA MWENZANGU, *4
LINA :
Najua sisitahili kufutwa machozi,
Japo sikuyasababisha mwenyewe,
Najua hustahili kuendelea toa machozi,
Japo naumia kuona tayari unamwingine,
Kwamiguu yangu sikuondoka,
Nilisukumwa wakafanya nipotee,
Moyo wangu bado unaishi kwakoo,
Huku ugenini upo mwili pekeeee...!,
Naumia,
Nalia.
NAumiaaa...!
SAJINA :
Najua sio kosa lako,
Najua ni wazazi wako,
Najua mi chaguo lako,
Ila kwanini unikosee!
SAJINA :
SITAKI TENA KUUMIZWA,
NAMI SITAKI KUMUUMIZA MWENZANGU,*4
* * *
Jamani wanawake mnashindwa kustand for true love?
Ona dogo Sajina anavyolalamika, na huyo Lina anavyobembeleza.
Najua mi chaguo lako,