The First Cabinet - Tanzania 1964

The First Cabinet - Tanzania 1964

wp5853904c.png

Former President Nyerere (fourth left)queuing to vote in a general election. The ordinary people in the queue were his real neighbours in Msasani, Dar es Salaam and not bussed in for a photo-op. In that, Mwalimu Nyerere was truly a man of the people but his faith in one-party ‘democracy' was proved to be fatally-flawed

Nimeipenda sana hii picha kwa kusema ukweli. Rais anajipanga foleni ya kwenda kupiga kura? Siku hizi rais akienda kupiga kura anakwenda na king'ola na msafara huo una magari zaidi ya 20, akifika anatengewa kiti katika kila hatua ya upigaji kura. RIP Mwalimu Nyerere, mzalendo wa kweli!
 
wakuu nilikuwa naperuzi nimekutana na hii cabinet ya kwanza kabisa baada ya uhuru: nimependa picha za hawa wanamapinzudi wa ukweli.

2015 tunahitaji balaza dogo kupunguza matumizi lukuki ya serikali.
 
Back
Top Bottom