The Finest mmmmhhhh

Hapan bado sana kuwa kidogo tena atleast ufikie umri wangu,inaelekea ulivyokuwa mdogo ulipenda sana kuwekea wadada vioo chini na kuwachungulia eeeeh?
18 naruhusiwa kuchungulia sasa
Hahahaha sikuwezi lol!!!
 
Sizinga Mkuu ndio nimegonga 18 yaani bado kijana kabisa lol

Mkuu!
hongera sana kumbe bado kijana sana, i thought ulikuwa unagonga kwenye 30, mkuu nakupigia saluti hata ninapoona post zako na comments zako nilikuwa najiuliza una umri gani, you're so wise man...
keep it up, but take care and many birthdays will come to you.
 
Happy Bday Mkwe bado nina machungu na wewe
Mungu akulinde na kukutunza pia akupe maisha mema marefu yenye baraka tele
enjoy your day
 
Hahaha Sizinga nafikiri ni muda muafaka sasa wa kutafuta mchumba au unasemaje?

Oohoooo!! Piga kitabu kwanza,shule yenyewe upo ya kata,ndo kwanzaaaaa upo form 2, unaanza kufikiria mchumba...hujani-convice mbado!!
 
Hongera kwa kuzidi kula chumvi sasa hivi una 45yrs si haba ni mda muafaka wa kupata jiko sasa.

Aaagh mbona Fidel unanchanganya!! ye kadai yupo 18, we unamletea uzee 45+, hebu wekeni sawa kwanza hapa!!
 
Aaagh mbona Fidel unanchanganya!! ye kadai yupo 18, we unamletea uzee 45+, hebu wekeni sawa kwanza hapa!!
Unajua Fidel tuligongana nae kwenye maslahi fulani hivi pale maeneo ya TIP TOP na HIGHWAY ndio maana ameamua kunizidishia miaka ili anipeperushie njiwa
 
Oohoooo!! Piga kitabu kwanza,shule yenyewe upo ya kata,ndo kwanzaaaaa upo form 2, unaanza kufikiria mchumba...hujani-convice mbado!!
Dah!! Mkuu umeamua kunimaliza kwa kutoa siri zote lol
 
Happy Bday Mkwe bado nina machungu na wewe
Mungu akulinde na kukutunza pia akupe maisha mema marefu yenye baraka tele
enjoy your day
Mama Mkwe yale yalikuwa ni majaribu ila nimeshinda lol Shetani shindwa tokaaa kwa jina la
 

Afrodensi, nimeipenda hii, HAPPY BIRTHDAY FINEST wa ukweli.
 
Hahaha Mkuu Mayanza hiyo age was just kiddin lol
 
Aaagh mbona Fidel unanchanganya!! ye kadai yupo 18, we unamletea uzee 45+, hebu wekeni sawa kwanza hapa!!

Huyu babu tayari na asipo chukua jiko mwaka huu basi tena kupata mrembo itakuwa kazi labda atumie fwedha kushawishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…