Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Leo the Economist wamekiri kuwa Kabendera ni ripota wao kwa hapa Tanzania.
Ikumbukwe tokea mwaka 2017 baada ya serikali kuwadhibiti Acacia hili gazeti liliandika makala mfululizo kuchafua serikali na nchi ya Tanzania kwa uamuzi wa kusimamia rasilimali.
Kweli mzungu hana huruma baada ya kumtumia sasa wamemwanika.
Leo the Economist wamekiri kuwa Kabendera ni ripota wao kwa hapa Tanzania.
Ikumbukwe tokea mwaka 2017 baada ya serikali kuwadhibiti Acacia hili gazeti liliandika makala mfululizo kuchafua serikali na nchi ya Tanzania kwa uamuzi wa kusimamia rasilimali.
Kweli mzungu hana huruma baada ya kumtumia sasa wamemwanika.