The Economist wakiri Erick Kabendera ni mwandishi wao ni dhahiri alitumika na Acacia kutangaza propaganda dhidi ya Tanzania

Bora wakudadavua umefunguka kwa kutuwekea kisa cha kukamatwa kwa kabendera! Sasa mbona mambonow na huyu Wa paspoti wanajichanganya kwa lengo la kutuchanganya?

Hebu anzisha Uzi mwingine Wa kuwatahadharisha hatari inayowakabili kwa kujichanganya kwao kwani RAIA wanazidi kuwa sugu na wameapa kutokubali kuchanganywa na policcm!
 
Ndugu zangu,

Leo the Economist wamekiri kuwa Kabendera ni ripota wao kwa hapa Tanzania.

Ikumbukwe tokea mwaka 2017 baada ya serikali kuwadhibiti Acacia hili gazeti liliandika makala mfululizo kuchafua serikali na nchi ya Tanzania kwa uamuzi wa kusimamia rasilimali.

Kweli mzungu hana huruma baada ya kumtumia sasa wamemwanika.

View attachment 1168627
Huyu ni kufukuza bila huruma ,hafai,akiachwa nchini nitasikitika sana.
Tuwabaini na tuwaadhibu bila huruma,ni wasaliti wa taifa,wakunyongwa mpaka kufa
 
Ndugu zangu,

Leo the Economist wamekiri kuwa Kabendera ni ripota wao kwa hapa Tanzania.

Ikumbukwe tokea mwaka 2017 baada ya serikali kuwadhibiti Acacia hili gazeti liliandika makala mfululizo kuchafua serikali na nchi ya Tanzania kwa uamuzi wa kusimamia rasilimali.
kwa hiyo adhabu yake ni kumteka kisha baadaye kuja na uamuzi wa kuhoji uraia wake?.
 
Ndugu zangu,

Leo the Economist wamekiri kuwa Kabendera ni ripota wao kwa hapa Tanzania.

Ikumbukwe tokea mwaka 2017 baada ya serikali kuwadhibiti Acacia hili gazeti liliandika makala mfululizo kuchafua serikali na nchi ya Tanzania kwa uamuzi wa kusimamia rasilimali.

Kweli mzungu hana huruma baada ya kumtumia sasa wamemwanika.

View attachment 1168627
Kumbe haka kajamaa kapumbavu namna hii, kwahii article inafaa kumshitaki kwa uhaini.
 
Ndugu zangu,

Leo the Economist wamekiri kuwa Kabendera ni ripota wao kwa hapa Tanzania.

Ikumbukwe tokea mwaka 2017 baada ya serikali kuwadhibiti Acacia hili gazeti liliandika makala mfululizo kuchafua serikali na nchi ya Tanzania kwa uamuzi wa kusimamia rasilimali.

Kweli mzungu hana huruma baada ya kumtumia sasa wamemwanika.

View attachment 1168627
Haka kajamaa kapumbavu sana kwahiyo kalijiona kameshakuwa CIA? ingekuwa korea ya kaskazini tungekuwa tushamalizana naye, anyway ngoja sharia ichukue mkondo wake, mtumieni na zitto hii clip ajue anamtetea mtu mshenzi kwa kiwango gani.
 
Ndugu zangu,

Leo the Economist wamekiri kuwa Kabendera ni ripota wao kwa hapa Tanzania.

Ikumbukwe tokea mwaka 2017 baada ya serikali kuwadhibiti Acacia hili gazeti liliandika makala mfululizo kuchafua serikali na nchi ya Tanzania kwa uamuzi wa kusimamia rasilimali.

Kweli mzungu hana huruma baada ya kumtumia sasa wamemwanika.

View attachment 1168627
Issue ni je aliandika uongo au ukweli?
Tumbafu kabisa.
 
Wazungu Wana madhaifu yao Lakini wako so open mada za the economist za kuchafua nchi ambazo zilikuwa zikipigiwa tarumbeta kusifiwa na Pascal Mayalla anayejiita mwandishi nguli nchini ambazo mwandishi Kabendera mwenye uraia tata ndie alikuwa anapeleka kuchafua nchi kwa sababu ambazo Kabendera na Mayala wanazijua wenyewe.Mayala akipigia filimbi za mpiga filimbi wa Hamelini kuwa serikali ijibu kujisafisha zikishachapishwa!!!
 
Kwa hiyo ukipinga tu au kuponda serikari ushakuwa mhahini sasa nchi za wenzetu si wangefunga watangazaji wote RT, Al Jazeera, China Today na wengineo ambao ni raia wao wanaofanya kazi kwenye vyombo vya propaganda vya kigeni.

Mtu kama George Galloway ameponda kila hatua ya serikari yake kuanzia kuvamiwa kwa Iraq kuhusu intelligence za uongo na mpaka leo anaponda kupitia RT hakuna ata mwenye shughuli nae.

Nonsense watu wana react more to international reports kuliko magazeti na nchi zina asses uhusiano wa Tanzania kutukona na evaluation zao not what the economists says.
 
Kwa hiyo ukipinga tu au kuponda serikari ushakuwa mhahini sasa nchi za wenzetu si wangefunga watangazaji wote RT, Al Jazeera, China Today na wengineo ambao ni raia wao wanaofanya kazi kwenye vyombo vya propaganda vya kigeni.

Mtu kama George Galloway ameponda kila hatua ya serikari yake kuanzia kuvamiwa kwa Iraq kuhusu intelligence za uongo na mpaka leo anaponda kupitia RT hakuna ata mwenye shughuli nae.

Nonsense watu wana react more to international reports kuliko magazeti na nchi zina asses uhusiano wa Tanzania kutukona na evaluation zao not what the economists says.
Kashongi Snowden wako wapi?
 
Back
Top Bottom