The DOWANS saga: Kwanini KIKWETE yuko kimya?

Media karibu zote Tanzania zinamwekea Kikwete Shield kwenye hii issue. Mtu wa kubanwa hapa inabidi awe Kikwete. Inabidi Kikwete ajibu swali la nini, wapi, nani, kwa nini, kivipi, ilikuwaje na inakuwaje kuhusu Dowans.

Ndugu yangu Solomon David na wana JF, Kikwete hayuko kimya - anajitahidi kujibu kila tuhuma inayoelekezwa kwake tena anajibu kwa style ile ile moja anayoijua. Kwa tuhuma nyepesi nyepesi anavyo vyombo vingi tu vya kumjibia kama Makamba na CCM, magazeti ya Uhuru, Habari Leo na Daily News, TBC, Habari Corporation na kadhalika. Kwa tuhuma nzito kidogo wako akina Rweyemamu, Ngeleja, Werema, Zitto, Celina na wote wale ambao wako tayari kuwakana hata mama zao wazazi kulinda mkate wao. Kwa tuhuma nzito sana na wananchi wanaposogea karibu na ukweli ndipo hapo Jakaya Mrisho Kikwete anapovua joho lake na kuvaa sura yake halisi.

Kwa kuwatumia FFU, mtutu wa bunduki, mabomu ya machozi na maji ya upupu kuwanyamazisha hao wananchi, Jakaya Mrisho Kikwete anajaribu kuufukia ukweli kuwa Richmond na Kikwete ni kitu kile kile ! Adui wa Tanzania si Rostamu wala Lowassa, hawa ni wapambe tu - adui wetu namba moja ni Jakaya Mrisho Kikwete, Raisi wa Jamhuri ya Muungano, Kiongozi wa Serikali, Mwajiri Mkuu, Mwenyekiti wa chama tawala, Jemadari Mkuu wa majeshi yetu na Mlinzi Mkuu wa Katiba yetu na Usalama wetu ! Bahati mbaya hivi sasa amegeuka na kuwa Msaliti Mkuu wa wananchi.
 
Tuanze na fisadi mkubwa ambaye sasa ameishia kutembelea makaburi nchi za nje. This guy is a shame to our nation

Unasahau kwamba wananchi wamemchagua tena kwa mandate ya kutosha mkuu..heshimuni katiba na maoni ya wananchi

Hii saga nafikiri tuanze kuwalaumu Mwakyembe na Sitta kwa kuishinikiza serikali kuvunja mkataba ambao wataalamu walisema tusivunje?

Tuanzie hapo.
 
mpumbavu sana mi naweza nkajitoa mhanga afe yeye na familia yake yote, nateseka sana namaisha kwaajili yao,hivi kwanini hawana huruma na sisi walala hoi? mana sisi ndo 2naoteska, namuachia laana afe ata leo **** uyo kiwete
 
Kuna habari mawakili wa Serikari na Tanesco walilipwa kabla ya kwenda kwenye kesi si chini ya Milion 800. Pia kuna makubaliano yaliwekwa kabla ya kesi kuanza kusikilizwa na walikubaliana hakuna kukata rufaaa baada ya hukumu.

Sasa kama haya yanafanyika ni kwamba JK hajuiiiiiii? au kauli ya mwanaseria wa serikali ndio msimamo wa JK? .... amakweli Tanzania ialiwa na wenye meno

kama pese hii italipwa nadhani Sita ndio wakati wa kutoka nani ya Serikali na CCM kwani asipofanya hivyo ndio mwisho wake> Nawaopmba wapenda Tanzania wote watoke ndani ya CCM na wajiunge na vyama vilivyopo ili tuikomboe Tanzania, Tanzania ni yetu si ya CCM na kundi laJK

AndrewK,

Unategemea Raisi kusema nini kama Waziri wa Umeme anawaambia waandishi wa habari waende Brela kutafuta majina ya wenye Dowans? Waziri ambaye ndiye alitakiwa awe wa kwanza kufuatilia na kuweka wazi wenye kampuni ndiye huyo huyo hataki kuwataja. Tanesco ambayo iko chini ya hiyo Wizara pia haitaweza kuwataja au hata kukataa kulipa hiyo pesa kwa sababu wakubwa wao wanasema LIPA! The key ni sisi WaTZ wenyewe tuamke tukatae haya mambo hata ikibidi tuandamane. True watatumia polisi kutupiga mabomu lakini hawataweza kutuua wote. We need tu gather enough courage to speak up against this crap!! Haya ya kusema kuwa Raisi atoe tamko ni woga wa kufanya vitendo. Tuachane na kupenda kudanganywa na pipi kama watoto na tuongee kwa vitendo yale tuliyo nayo moyoni. Tanzania ni nchi peke yake ambayo wananch wake wanakubali kulipa mabilioni kwa ajili ya umeme ambao hadi sasa hawajauona. It's a serious disease - tuiondoe na tuache kuwategemea wakina Dr. Slaa kuendelea kusacrifice. Kwa nini na sisi tusijiunge nao kwa vitendo? Wameshatutetea ya kutosha kwa kutuambia hawa watu ni akina nani kwa hiyo tuendeleze hiyo vita tuache woga.
 
Kiongozi wetu aliapishwa kuilinda katiba, katiba yetu ni mbovu mbovu lakini bado inawashitaki kwa kushindwa kuilinda na tutaibadilisha lakini hawa viongozi wanao tufanya sisi wajinga wajue watalipa tu, hatutakubali,tutawatafuta kama kagame aivyofanya kwa nterhamwe hata waliokimbilia Canda na south africa walifwatwa kwa hiyo ndugu zangu msijidanganye hatuta kubaliiiiiiii kabisa yuo will pay kwa dhambi zenu! Ninyi mmetusaliti haiwezekani miezi ya mvua kukawa na mgao wa umeme ili mpandishe bei ya umeme na Mumlipe RA na EL eti DOWANS,kampuni ya waizi ambayo imerithi makata wa waizi RICHMOND,hata mimi sijui sheria lakini kwa akili ya kawaida tu inawezekanaje Dowans ambao waliachiwa mikoba na kampuni ya kitapeli waseme wanahaki ya kulipwa fidia? either hamkupeleka maelezo mazuri kwenye hiyo mahakama ya kinyonyaji na kitapeli au mlifanya deal chafu nininyi ni watu wa shetani, msio na huruma natunaopata shida sababu yenu.

Serikali mambo yote haya yanamwisho wake, Mnatunyanyasa sana tumechoka najuta kwanini nilizaliwa nchi hii,imekuwa bahati mbaya sana lakini tutapambana mpaka tupate haki yetu. Samweli sitta ni bora utoke humo hata Mwakyembe Tutawaona wote mmetusaliti mkindelea kubaki mtakuwa mmshiriki kutuibia na siku tutawahukumu nimesoma gazeti moja kumbe hata startime nayo ni bomu wajanja serikalini wamesha tupiga.viongozi mmekosa uzalendo hamuipendi nchi yetu na wala hamtupendi wanchi wenzenu,hivi hamuoni hata wale watoto Ombaomba? hamjui kama yote hayo ni mamatizo ya serikali yenuuuuuuu? aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
JK hawezi kukwepa lolote baya au zuri linalotekea kwa watendaji waliochini yake,kwa hili alikuwa na uwezo wa kulitolea taarifa siku ya kwanza lilipotangazwa, kukaa kwake kimya ni anachekelea na kuwaona hao waliompigia kura majuha manake hawawezi kumfanya lolote.Angelitolea msimamo kama lingewahusu wabaya wake, kwakua naye anahusishwa lazima apate kigugumizi..
 
Ndugu yangu Solomon David na wana JF, Kikwete hayuko kimya - anajitahidi kujibu kila tuhuma inayoelekezwa kwake tena anajibu kwa style ile ile moja anayoijua. Kwa tuhuma nyepesi nyepesi anavyo vyombo vingi tu vya kumjibia kama Makamba na CCM, magazeti ya Uhuru, Habari Leo na Daily News, TBC, Habari Corporation na kadhalika. Kwa tuhuma nzito kidogo wako akina Rweyemamu, Ngeleja, Werema, Zitto, Celina na wote wale ambao wako tayari kuwakana hata mama zao wazazi kulinda mkate wao. Kwa tuhuma nzito sana na wananchi wanaposogea karibu na ukweli ndipo hapo Jakaya Mrisho Kikwete anapovua joho lake na kuvaa sura yake halisi.

Kwa kuwatumia FFU, mtutu wa bunduki, mabomu ya machozi na maji ya upupu kuwanyamazisha hao wananchi, Jakaya Mrisho Kikwete anajaribu kuufukia ukweli kuwa Richmond na Kikwete ni kitu kile kile ! Adui wa Tanzania si Rostamu wala Lowassa, hawa ni wapambe tu - adui wetu namba moja ni Jakaya Mrisho Kikwete, Raisi wa Jamhuri ya Muungano, Kiongozi wa Serikali, Mwajiri Mkuu, Mwenyekiti wa chama tawala, Jemadari Mkuu wa majeshi yetu na Mlinzi Mkuu wa Katiba yetu na Usalama wetu ! Bahati mbaya hivi sasa amegeuka na kuwa Msaliti Mkuu wa wananchi.

kwenye red hapo anapotupeleka huyu siko

:hail::hail::A S 109::A S 109::A S 109:jk:smash::smash::smash::smash:jk:smash::smash::smash::smash::smash::smash::smash::smash::smash::smash::smash::smash:
 
Media karibu zote Tanzania zinamwekea Kikwete Shield kwenye hii issue. Mtu wa kubanwa hapa inabidi awe Kikwete. Inabidi Kikwete ajibu swali la nini, wapi, nani, kwa nini, kivipi, ilikuwaje na inakuwaje kuhusu Dowans.

EL anasema mkwere alijua hatua zote za Richmond. hakuna jambo ambalo hakuhusishwa naye alitoa baraka. Jambo la kujiuzulu lilikuwa ni kulinda heshima ya mkwere asiumbuke!!
 
kama ameweza kumaliza hotuba yake ya salam za mwaka na kuzungumzia kila alichoweza na kushindwa kabisa kuzungumzia issue ya Dowans maana yake ni nn? anaposema eti mfumko wa bei umepungua, maisha yameboreka anatumia vigezo vp au ndo mambo ya kuandaliwa taarifa ? ndugu zangu safar ya tz ni ndefu sana na sis watz ambao tunaweza kuifanya iwe fupi_kiukwel wana jf inauma sana
 
ni bahati ilioje kuwa miongoni mwa WaTz wasiopenda kabisa kusikiliza hotuba za rais wetu kipenzi; kwani huwa ni hotuba za kuzunguka mbuyu sana....hazi-hit jackpot. hazi-hold water.

JK amesema nini kuhusu Bil.185 za Dowans?
 
Miye nimesoma hiyo hotuba nimeona kwenye swala hili la malipo ya Dowans ambalo sasa hivi limezua pingamizi kubwa miongoni mwa Tanzania hasa kwa kutilia maanani kampuni hii iliidanganya Serikali, pia haikufanya chochote katika mkataba waliopewa na wamiliki wake kuendelea kuwa siri kubwa, Kikwete ameamua kuendeleza ukimya wake sijui kwa faida ya nani. Hizi hotuba ambazo haziruhusu waandishi wa habari kuuliza maswali mwisho wa hotuba ni USANII MTUPU! Maana najua fika swali la Dowans lingeulizwa mara nyingi tu. Ni nani wamiliki wa Dowans, Rostam alipewa ``power of attorney`` lini na wapi nani waliokuwa mashahidi wakati akikabidhiwa haki hizo za kisheria na ni akina nani waliopma hiyo ``power of attorney, Ni kiasi gani kitakacholipwa Sh 185bn au 90bn
 
huwaga simsikilizagi, hivi anaongeaga nini? Usanii i am tired of, hivi aliongea leo?
 
SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA,Naona anataka kutolewa Ikulu kwa katapila.WERAWERAAAA...Achiangazi mwenyewe mkwere wao thithiem wapishe wanaume washike usukani uone kazi inavyokwenda.
 
Ndugu wana JF
Napenda kuleta thread hii kwenu ili tuweze kuichambuwa na kujua nafasi ya Raisi wa Tanzania katika sakata la Dowans
kwani tangu imetolewa hukumu ya tanzania kutakiwa kuilipa kampuni tata ya dowans mamilioni ya shilingi hatuja msikia Raisi ama hata waandishi wake kulizungumzia swala hili zaidi ya wanaharakati na baadhi ya wasomi kukemea na kutokukubaliana na ulipaji wa pesa hizo
imefikia wakati baadhi ya wanaharakati wamemtaka Rais Jakaya Kikwete kuvunja ukimya na kuzungumzia suala hili.
Na inasemekana Nchi inayumbishwa na kikundi cha watu wachache, waroho wa madaraka, wabinafsi, wasiojali maslahi ya taifa na ambao wanajiita ni Watanzania (Gazeti mwananchi).

Swali linaloniumiza hapa ni kuwa UKIMYA WA RAISI WA TANZANIA JUU YA SAKATA LA DOWANS UNAMAANISHA NINI? Je amekubaliana na hicho kikundi cha watu wachache wanao yumbisha nchi? ama amekubaliana na ulipaji wa mabilioni ya pesa kwa Dowans, ama anatafakari jinsi ya kupambana na hili sakata?

karibuni Great thinkers
MSEMA UKWELIIIIIII HAPENDWIIII DAIMAAAAAAA

Mapinduziiii daimaaaaaaa:A S 27:
 
ANAUMWA AKILI INAMUUMA HELA ANAZITAKA WANAnCHI WAMECHCHMAA HAWEZI KUAMUA HALI NGUMU SANA
 
Back
Top Bottom