Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,551
- 28,516
Kwamba huyu ndiye Spika wa Bunge la Tanzania, basi tumekwisha.
Bunge litakuwa mwangwi tu wa kile serikali ya Mama Samia inataka.
Bunge halijalaani matukio ya mauaji ya Oktoba 29.
Huyu Azzan Musa Zungu atakuwa mtetezi tu wa mapungufu na maovu yote ya serikali katika Bunge ambalo wawakilishi wa wananchi, wengi wa hao wabunge ni wale vilaza tu (baba Levo et al)
Naomaba kumuwakilisha kwenu Azzan Musa Zungu-The Devils Advocate!