uzeebusara
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 657
- 514
Habari!
Kwa wale waliojaaliwa kuwa na king'amuzi cha dstv, kuna channel no 136 huwa kuna vipindi vya jamaa wanafanya miujiza nk! Mmoja anaitwa the carbonaro effect na Dynamo magics! Hivi kwa watu wa mazingaombwe haya ni matukio ya kweli au ni computerised actions maana naona wanavuka mipaka ya kawaida tuliyozoea kuona watu wa mazingaombwe hapa Tanzania
Mfano wa matukio ya Dynamo ni pamoja na kutembea juu ya maji, kuelea angani, kushuka ghorofa lefu kwa kutumia ngazi nk
Mfano wa the carbonaro effect ni pamoja na kubadilisha vitu kuwa wanyama, kubadilisha nguo hp hp nk
Wajuzi wa nguvu za kiza hili limekaaje
Cc mshana na wengineo
Kwa wale waliojaaliwa kuwa na king'amuzi cha dstv, kuna channel no 136 huwa kuna vipindi vya jamaa wanafanya miujiza nk! Mmoja anaitwa the carbonaro effect na Dynamo magics! Hivi kwa watu wa mazingaombwe haya ni matukio ya kweli au ni computerised actions maana naona wanavuka mipaka ya kawaida tuliyozoea kuona watu wa mazingaombwe hapa Tanzania
Mfano wa matukio ya Dynamo ni pamoja na kutembea juu ya maji, kuelea angani, kushuka ghorofa lefu kwa kutumia ngazi nk
Mfano wa the carbonaro effect ni pamoja na kubadilisha vitu kuwa wanyama, kubadilisha nguo hp hp nk
Wajuzi wa nguvu za kiza hili limekaaje
Cc mshana na wengineo