nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
Nimeingia Dodoma Jana kuhudhulia uzinduzi wa Ikulu , Jioni hii nimefika Bar Ilivyokua imefungiwa na NEMC inaitwa The Bistro ...Iko Dodoma Nkuhungu.
Hii bar Kuna haya Mamitungi ya Shisha yanavutwa kila upande na kufanya indoor bar kuwa na mimoshi kwelikweli .
Mamlaka , zichukue hatua kuhusu matumizi holela ya Shisha hasa kwenye bar hii .
Huuu uvutaji haukubaliki
Hii bar Kuna haya Mamitungi ya Shisha yanavutwa kila upande na kufanya indoor bar kuwa na mimoshi kwelikweli .
Mamlaka , zichukue hatua kuhusu matumizi holela ya Shisha hasa kwenye bar hii .
Huuu uvutaji haukubaliki