The Bible Fraud & Secret in the bible...!!!

Kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake.
Babu zetu ambao hawakuwa na dini wanaweza kuingia peponi na sisi tunaojifunza siku zote tusiujue ukweli na kuingia motoni.
 
kitu nilichoshindwa kukielewa ktk maisha yangu yote,ni haya mambo ya dini!!nimezaliwa nimezikuta dini kitambo zipo..huyu anasema hili,yule anasema lile,nimekuwa nikichanganyikiwa ipi ni dini ya ukweli nimefanya kila niwezalo nimeshindwa!!..
sasa nimeamua kuishi tu bila kufuatilia imani yoyote ile na sasa najiona ni mwenye amani sana!!
 
kitu nilichoshindwa kukielewa ktk maisha yangu yote,ni haya mambo ya dini!!nimezaliwa nimezikuta dini kitambo zipo..huyu anasema hili,yule anasema lile,nimekuwa nikichanganyikiwa ipi ni dini ya ukweli nimefanya kila niwezalo nimeshindwa!!..
sasa nimeamua kuishi tu bila kufuatilia imani yoyote ile na sasa najiona ni mwenye amani sana!!
Kujiona mwenye amani ndiyo Ukweli uliyokuwa ukiiutafuta kwani?
 
Sioni ulazima wa mie kusema naamini kitabu kipi hapo au siamini kabisa,maadamu tunazungumzia uwongo uliyopo kwenye hivyo vitabu basi hakuna haja ya kujua imani yangu.
Sioni ulazima wa mie kusema naamini kitabu kipi hapo au siamini kabisa,maadamu tunazungumzia uwongo uliyopo kwenye hivyo vitabu basi hakuna haja ya kujua imani yangu.
Nakuambia hivyo maana pia bible na quran vinapingana sana vyenyewe kwa vyenyewe mbona, inamaana hapa kama vinapingana ujue huoni kama kuna uwongo ktk vitabu hivyo kwann vipingane kama vyote ni vya kweli? Ndio nikakuuliza ww unaamini kipi?
 
Kujiona mwenye amani ndiyo Ukweli uliyokuwa ukiiutafuta kwani?
Mkuu hujamjibu swali ili kumsaidia mtajie ww ipi dini ya kweli km mungu ni mmoja kwann kuwe na dini nyingi duniani? Mbona sheria za hesabu ktk sayansi hazibadiliki mfano mwandishi wa kitabu chochote ktk force atasema f=ma awe mjerumani,mtanzania,mchina,mwarabu ina maana wote ujumbe wao mmoja sasa kwann huyu mungu ana vitabu vingi vyenye ujumbe tofauti ikiwa yeye ni mmoja? Kwann dini zote zisiwe na sheria mmoja km sheria za hesabu ambazo hazibadiliki ht ukibadilisha lugha?
 
Nakuambia hivyo maana pia bible na quran vinapingana sana vyenyewe kwa vyenyewe mbona, inamaana hapa kama vinapingana ujue huoni kama kuna uwongo ktk vitabu hivyo kwann vipingane kama vyote ni vya kweli? Ndio nikakuuliza ww unaamini kipi?
Mie nimetaka kujua uwongo wa kwenye hivyo vitabu umewekwa na nani na kwa sababu zipi? kwa sababu hata kama vingekuwa havipingani ila kama kuna uwongo itabaki kuwa kuna uwongo tu.
 
kitu nilichoshindwa kukielewa ktk maisha yangu yote,ni haya mambo ya dini!!nimezaliwa nimezikuta dini kitambo zipo..huyu anasema hili,yule anasema lile,nimekuwa nikichanganyikiwa ipi ni dini ya ukweli nimefanya kila niwezalo nimeshindwa!!..
sasa nimeamua kuishi tu bila kufuatilia imani yoyote ile na sasa najiona ni mwenye amani sana!!

Siku zote ukiwa na hamu ya kudadisi,kuhoji lazima utaupata ukweli. Hapo bado kuna mengi hujayajua. Siku ukiyajua akili itakua huru. Utawaonea huruma na kuwashangaa binadamu wasivyo na amani kiasi cha kutojua nini maana ya maisha basi wameishi kwenye kasumba miaka yao yote.
"Free your mind, because non but yourself is going to free it for you"
 
Mkuu hujamjibu swali ili kumsaidia mtajie ww ipi dini ya kweli km mungu ni mmoja kwann kuwe na dini nyingi duniani? Mbona sheria za hesabu ktk sayansi hazibadiliki mfano mwandishi wa kitabu chochote ktk force atasema f=ma awe mjerumani,mtanzania,mchina,mwarabu ina maana wote ujumbe wao mmoja sasa kwann huyu mungu ana vitabu vingi vyenye ujumbe tofauti ikiwa yeye ni mmoja? Kwann dini zote zisiwe na sheria mmoja km sheria za hesabu ambazo hazibadiliki ht ukibadilisha lugha?
Mkuu hata dunia nzima iamua tu kusema rais wa Tz ni Trump hiyo haifanyi iwe kweli Trump ni rais wa Tz.

Hata mie leo naweza kuanzisha dini na ikawa tofauti na dini zote zilizokuwepo sasa, kwahiyo hauwezi kusema et kwanini mungu mmoja na ana dini nyingi tofauti.
 
Swali Moja kwa watu wanaokataa kwa kuwa Kuna uwezekanao mkubwa Mafundisho ya dini. Dini yeyote huwa yana na Mapungufu Mengi,

na pengine mapungufu Makubwa .

Hivi kama hizi dini ni sahihi, na Mafundisho yake ni sahihi, kwanini tuna dini nyingi ambazo mafindisho yao yanapingana kwa kiwango kikubwa.


Mfano weka Budha na Hindu, Upande wapili weka waislamu na wakristu. Kundi lipi kati ya "imani" hizi mbili linasema ukweli au walau mafindisho yanayoelekea kwenye ukweli.

Haya tuchukue upande ambao walau wengi humu tuna uzoefu nao.

uislamu na Ukristu. Ipi kati ya dini hizi, inafundisha Mafundisho ya kweli, na imani yake ni sahihi na ya kweli

Bado ukichukua Usilamu ina madhehebu kibao ndani yake.

Njoo kwa Ukristu. Napo kumegawanyika. Catholics, protenstants, Adventists, Pentecostes,

Hawa wote Mafundisho yao pana sehemu yanapingana, na ndio maana yakawa makundi tofauti ya imani moja.
Njoo kwa pentecoste ndio balaa, tupu. Mpaka mtu unashuku kama kweli kuna ukweli wowote kwenye mwanzo wa dini. Maana yanayo fundishwa humo na performance za imani zao ni vyakutia wasi wasi(miujiza yao).


Kwa ufupi ukichunguza tangu pale mwanzo nilipo jaribu kutoa tofauti ya hizo dini, swala la kuelewa ni Moja. Kila dini ina milikiwa, au ilianzia kwenye kundi fulani, ambalo lilikua na utaratibu au ustaarabu fulani, kulingana na utamaduni wao.


Utamaduni wa kundi hilo la chanzo cha hiyo dini, ndio utakaoongoza na ndio utakao beba utamaduni wa dini husika.na zinawekwa sheria au mafundisho yatakayo lazimu wafuasi wote kufuata tamaduni hiyo, kinyume utaonekana mvunjifu wa taratibu za hiyo dini, hivyo ni dhambi.

Pia sheria , Mafundisho,na taratibu nyingine zitaweka kulingana na Matakwa ya mwanzilishi wa hiyo dini. Cha kusikitisha ni kwamba chochote atakachoandika au kuacha mwanzilishi huyo kitaaminiwa hata kama sio sahihi, na akitokea mtu kukipinga ataonekana msaliti(kakufuru).


Pia Viongozi wa juu wa dini husika pale watapojisikia nao wanaweza kuongeza ya kwao na kusema yaliachwa na mwanzilishi au waanzilishi.

Nani atakaye pinga.

Wale wafuasi wa kwanza nao au wale watakao peleka dini hiyo pahala ambapo haikiwepo Kuianzisha, nao pia wana uwezo wa "kudistort", au kuongeza ya kwao. Na wapokeaji watayachukua kama yalivyo adha ni sahihi, au yana mapungufu, au sio sahihi.

Ndivyo dini ilivyo.


mimi ni mkristo(mkatoliki).

Ila ninavyo amini mimi, dini ya kweli yoyote ile itakayo kuwa.
1. Lazima impe mtu uhuru.
2. Ina mnyima mtu uhuru.

Najua vinapingana. Ila hapana.


Kwanza impe mtu uhuru wa kuichimba kuielewa "kuichallenge"

Kuamini na kuabudu. Au hata asipotaka kuiamini mtu huyo awe huru kutoiamini.
Pia isi mnyime mtu uhuru wa kufikiria.

Kwa upande mwingine kuna baadhi ya mambo lazima yabaki kama msingi. Na ndio hapa swala la kumnyima mtu uhuru ninapo limaanisha.

Lazima iwe na misingi ambayo itaweka usawa kati ya sio tu waumini wake, bali hata wasio waumini.

Mtu asiwe huru kutenda anavyojisikia. Lazima dini iwanyime uhuru watu kufanya yale yatakayo ingilia haki za wengine hasa ya kuwa huru
Na kunyima uhuru kuvunja misingi ya dini husika bila kukubalika baina ya waumini wote, na misingi mikuu ya dini husika.


Kifupi tu ni kwamba.

Dini hizi zimeanzishwa , au walau zinasimamia na kuongozwa na watu.

Kwa kiasi kikubwa zinawalazimisha waumini wao kufuata mafundisho kwa kuwawekea uoga na kuwatisha(sioni kamani njia pekee sahihi).

Sababu waumini wanaamini Viongozi wao kana kwamba ni mawakili wa "mungu"

Basi waumini watafuata lolote atakalo penyeza kiongozi.

Kwa mwanya huo, viongozi wana uwezo wa kuongeza , kupunguza, au kupindisha Mafundisho na hata Misingi ya dini, ili viendane na "interest" zao au za kundi fulani lenye nguvu ambalo ni "mashoga" zao.

Kuna haja ya kuzichunguza na kufuatilia imani tulizoletewa au kurithi. Ili kujiweka huru, ili walau kuamini tunachokijua.

Sio kwenda kama makondoo.

Halafu mtu akileta changamoto"criticism" unakimbilia kusema, Amelaaniwa, au atalaaniwa, au anakufuru, au mengine kibao.

Acheni kushikiliwa akili Watu.
 
Rabbi(Rabai) neno la kiyahudi linalomaanisha Ustadh au sheikh,Jesus aka yesu aka Isa alikuwa anaitwa Rabai(Rabii) na mayahudi
acha uhuni huo rabii manake mwalimu shehe manake mzee huoni tofauti hiyo acha kulazimisha vitu.
 
Huwa najiuliza, kwanini nguvu nyingi, fedha, juhudi na maarifa ya hali ya juu yatumike kupinga uwepo wa Mungu? Kwa hali halisi kuna cha kujifunza, kuna haja ya kuyatafuta maarifa kadri mtu atakavyoweza. Kwa bahati mbaya sana kuna mabingwa wa upotoshaji, ukaaminishwa hata mambo ambayo kwa akiri ya kawaida yanatia shaka. Lengo hasa la kupinga uwepo wa Mungu kwa nguvu nyingi ni lipi? Aina inayotumika upingaji wa uwepo wa Mungu inatia shaka, ikitaka kuwaaminisha watu pengine wapotoke! Binafsi sio mtaalamu sana mambo haya, ila sidhani kama aina hiyo ya vitabu vitaniaminisha kutokuwepo kwa Mwenyezi Mungu.
Mkuu sidhani kama wanapinga uwepo wa Mungu wanachopinga watu ni Mungu huyu anayetaka pesa zetu kila wakati anayetaka tumswalie mara 5 kwa siku Mungu atakayewachoma oto watu inachopingwa ni Mungu anayeelezewa na vitabu vyetu pendwa biblia na qurani.
 
Habari za wakati huu wakuu,
Kwanza kabla yayote labda nitamke tu rasmi kwamba mimi ni muumini wa dini ya kikristu na dhima ya uzi huu sio ku-criticize our faith (for those Christians) Bali ningependa tuweze kushare mawazo kusudi kung'amua hasa kweli ni ipi. Baada ya kusoma nyuzi kadhaa za mkuu Likud na na comments za mkuu Kiranga, nilijaribu kutafuta vitabu kadhaa niweze japo basi kupata mwanga kidogo kuhusu ni ipi ni kweli. Kitabu cha The bible fraud (hivi vyote vimeandikwa na Tony Bushby) sikufanikiwa kukipata ila hiki cha secret in the bible nimefanikiwa kukipata na ndio niko mbioni kumalizia. Aisee,
Ukisoma hiki kitabu kuna shocking facts (truth) ambazo kiukweli zimenishtua hadi sasa moyo wangu hauna amani. Imagine what you have been made to believe turns out to be fake. Kwenye biblia kuna siri nyingi sana na according to bwana bushby, mtu aliyeitwa Francis Bacon ambae ni moja ya magenius waliowahi kutokea duniani, ambae pia ni among the earliest initiates (masonry) ndie aliyepewa jukumu LA kuandika biblia ya kwanza na king jes ambapo humo aliencode siri nyingi sana ambazo inabidi uwe enlightened kuweza kuzifahamu. Pia anasema Jesup christ had a twin brother na hakuuliwa kwa crucifixion bali he was stoned to death baada ya kukamatwa na hatia ya kuiba the ancient secrets from Egypt na ndipo alipoanza kuperform MIUJIZA. hizi ni baadhi ya screenshots za baadhi ya pages Kwenye kitabu hiko...
View attachment 775699
View attachment 775704
View attachment 775706
Naomba tuweze kujadili swala hili kwa marefu na mapana wakuu lengo ni kugain knowledge wala sio kukashifiana kiimani. Mods pls Naomba msiuunganishe huu uzi na nyuzi zingine na kwa atakae hitaji hiki kitabu nitampatia.
Naomba hicho kitabu mkuu
 
Mimi ni mkristo ila huwa sipendi kushikiwa akili zangu huwa ninapenda kufuatilia mambo kuna ishu nyingi sana nyuma ya pazia ambazo wakristo wengi huwa hatufahamu au tunaamua kushupaza shingo ishu kama za holy grail n.k .............kubali kutawaliwa kimwili ila sio kiakili ,wakristo tunapaswa kusoma vitabu vingi na si kuishia kukaririshwa bible tu kuna watu wameandika facts nyingi kuhusiana na hii faith............Hizi ni dini za kigeni hivyo tusiwe watumwa kiasi cha kutofanya tafiti za maandiko ya hii imani
Ni kweli mkuu, kwanza wakristo tujiulize kwa nini vitabu vingine viliondolewa kwenye Biblia mfano The book of Enock na The gospel of Thomas?

Ukisoma Yuda 1:4-15 anakinukuu vizuri kabsa kitabu cha Enock, sasa kwa nini kiliondolewa?
 
acha uhuni huo rabii manake mwalimu shehe manake mzee huoni tofauti hiyo acha kulazimisha vitu.
Rabii kiyahudi, Mwalimu kiswahili,Maulana kipakistani,Sheikh kiarabu,Teacher kingereza,...IQ yangu kubwa sana kufananisah na yako,ningekusahuri pendelea kusoma vitabu mbali mbali kwa kuongeza uwezo wako wa kujuwa mambo(Knowledge)..
 
Mkuu mimi ni mwislam lakini Rabai Isa aka Iso aka Jesus aka Yesu,hakuuliwa kwa kupigwa mawe hiii sikubaliano nalo,Kwa imani ya kiislam Yesu kweli alisulibiwa msalabani lakini hakufa,ukisoma biblia kuna sehemu nyingi zinazoeleza kuwa Yesu hakufa msalabanni..

Kweli biblia inamapungufu mengi,lakini hii ya Yesu kupigwa mawe mpaka kufa mpya,nitarudi na aya za biblia kuthibitishia kuwa yesu hakufa msalabani
ukija nayo uni weke niione
 
Rabii kiyahudi, Mwalimu kiswahili,Maulana kipakistani,Sheikh kiarabu,Teacher kingereza,...IQ yangu kubwa sana kufananisah na yako,ningekusahuri pendelea kusoma vitabu mbali mbali kwa kuongeza uwezo wako wa kujuwa mambo(Knowledge)..

acha uhuni sheikh manake mzee "old man"

Word Origin and History for sheik. n. "head of an Arab family," also "head of a Muslim religious order," 1570s, from Arabic shaykh "chief," literally "old man," from base of shakha "to grow old." Popularized by "The Sheik," novel in Arabian setting by E.M.

tembelea hapa chini.
the definition of sheik
 
Rabii kiyahudi, Mwalimu kiswahili,Maulana kipakistani,Sheikh kiarabu,Teacher kingereza,...IQ yangu kubwa sana kufananisah na yako,ningekusahuri pendelea kusoma vitabu mbali mbali kwa kuongeza uwezo wako wa kujuwa mambo(Knowledge)..
huwezi kuwa muislamu ukawa na IQ kubwa sawa na kuwa na pembe tatu duara nearly impossible.
 
Mkuu mimi ni mwislam lakini Rabai Isa aka Iso aka Jesus aka Yesu,hakuuliwa kwa kupigwa mawe hiii sikubaliano nalo,Kwa imani ya kiislam Yesu kweli alisulibiwa msalabani lakini hakufa,ukisoma biblia kuna sehemu nyingi zinazoeleza kuwa Yesu hakufa msalabanni..

Kweli biblia inamapungufu mengi,lakini hii ya Yesu kupigwa mawe mpaka kufa mpya,nitarudi na aya za biblia kuthibitishia kuwa yesu hakufa msalabani

Kasome tena Suratin-Nisaa (karib na mwisho(skumbuki aya))
Allah anasema

"..Na kwa kauli yao(kusema) 'sisi tumemuua Masih Isa (Yesu) mwana wa Maryam', hawakumsulubu, hawakumuua ispokuwa tuliwababaishia........... Kwa yakini hawakumuua"
 
huwezi kuwa muislamu ukawa na IQ kubwa sawa na kuwa na pembe tatu duara nearly impossible.
Uislam ndio uliolea ustarabu duniani...,hakuna mwislam asiekuwa na IQ kubwa,ukisoma na kukifahamu kitabu cha Quran tu inatosha kuzidisha umahiri wa IQ ya mtu,..

Kama binaadamu mpaka miaka hii ya leo unaamini kuwa binaadamu mwenzako,anaekwenda chooni kama wewe,anaekula kama wewe, kuwa ni Mungu basi hapo ujue kuna kasoro ya Ubongo wa binadamu huyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom