Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,134
panda gari la kisongo ukifika uliza kwa ngurumo ya upako hapo utapata kila kitu.
Budget yangu ni 50k
Washika dau A town,
Nipo Arusha tangu Jana jioni kwa ajili ya shughuli ya kifamilia, nimefikia nyumbani kwa mmoja wa wanafamilia, tayari nimeshamvaa demu mkali ambae kama Mimi nae yuko hapa A- town kwa ajili ya hii shughuli , na kuna kila dalili kwamba nafanikiwa kumng'oa, kwa vile najua JF ni kila kitu, washika dau wa Arusha mliopo humu jf naomba mnielekeze mahali ilipo nyumba ya wageni wa muda mfupi iliyo nzuri nikajipumzishe
Asanteni.