The best short-time Guest House in Arusha

The best short-time Guest House in Arusha

Gogle

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
1,495
Reaction score
871
Washika dau A town,

Nipo Arusha tangu Jana jioni kwa ajili ya shughuli ya kifamilia, nimefikia nyumbani kwa mmoja wa wanafamilia, tayari nimeshamvaa demu mkali ambae kama Mimi nae yuko hapa A- town kwa ajili ya hii shughuli , na kuna kila dalili kwamba nafanikiwa kumng'oa, kwa vile najua JF ni kila kitu, washika dau wa Arusha mliopo humu jf naomba mnielekeze mahali ilipo nyumba ya wageni wa muda mfupi iliyo nzuri nikajipumzishe
Asanteni.
 
Budget yangu ni 50k
 
Nenda mrina guest house kaka hapo ni mwisho wa matatizo.
 
Kama upo pande za town jisogeze pande ya Mrina na Shivaz,kuna guest house za kutosha...yaani za maeneo hizo ni kwere arifu,ni shidaaa
 
Ndo nini hicho? Kama unajua kutongoza alafu hujui kutafuta gesti mpaka uje jf basi hapo juu hauko sawa

Halafu jamaa anaonekana ni mgeni wa mjini_nafikiri katoka sitimbi huyu,...mji mkubwa kama arusha anaulizia guest nzuri,.....angeulizia hotel nzuri kidogo ningemuelewa
 
Kama upo pande za town jisogeze pande ya Mrina na Shivaz,kuna guest house za kutosha...yaani za maeneo hizo ni kwere arifu,ni shidaaa

ahahahahaaaaaaaaa wazinzi utawajua tu,..unataka akishatoka tu na huyo apite na mwingine sio...!111111111111111
 
Juzi nilipanda basi kwenda mikoani, nikachagua basi zuri kweli, semiluxury 2 by 2, mpyaaaaa ndo imeingia sokoni nikajua starehe tupu, ile kupanda tu nikakuta anapandishwa mgonjwa hawwezi hata kutembea anabebwa, amedhoofu anakohoa mfululizo, amekonda, nywele zimebabuka na kupauka, anatapika njia nzima, kila dalili kuonyesha ni ngoma, matibabu yameshindikana anaenda kujifia zake kwao. Subiri na wewe utakuwa hivyo very soon.
 
Washika dau A town,

Nipo Arusha tangu Jana jioni kwa ajili ya shughuli ya kifamilia, nimefikia nyumbani kwa mmoja wa wanafamilia, tayari nimeshamvaa demu mkali ambae kama Mimi nae yuko hapa A- town kwa ajili ya hii shughuli , na kuna kila dalili kwamba nafanikiwa kumng'oa, kwa vile najua JF ni kila kitu, washika dau wa Arusha mliopo humu jf naomba mnielekeze mahali ilipo nyumba ya wageni wa muda mfupi iliyo nzuri nikajipumzishe
Asanteni.

kuna kila dalili kuwa wote nyie ni vicheche. Uchumba unaanzia gesti? Ila akili ni nywele kila mtu ana zake. Ila tukumbuke hata watoto wanafika kwenye hii site, sijui wanajifunza nini!
 
Back
Top Bottom