The Bank that listens! Some staff violates this Motto

The Bank that listens! Some staff violates this Motto

Mkuu2015

Member
Joined
Jun 23, 2014
Posts
65
Reaction score
15
Habari wana JF!

Hakuna siku nimejisikia vibaya kama leo nilivoenda CRDB Oysterbay kwa huduma ya kibenki! Kuna fomu moja ya mahakama ambayo ina ka-section kadogo kanakotakiwa kujazwa na Banker, nako kanahitaji JINA, SAHIHI, TAREHE na MUHURI wa Bank! Just like that! kitu ambacho hakichukui hata dk 5!!!

Basi nikafika pale reception dada mmoja akanielekeza meza husika, nimefika kwenye ile meza muhusika hata hakuniangalia! nime spend kama dk 8 nasubiri, badaye nikaweka fomu yangu kwenye meza na kumuonesha sehemu husika! huwezi amini! mi si mkaazi wa pale ingawa nilifungulia akaunti yangu pale! nimepanda bajaji kufika pale, nimetumia nauli na nina mambo mengi pia ya kufanya kama wateja wengine! ilikuwa mida ya saa tano kasoro asubuhi ila huyu muhusika akaniambia nirudi saa nane kujaza JINA, SAHIHI, TAREHE na KUGONGA MUHULI kwamba eti ana kazi nyingi!!!

Is this what the motto means???! I wish ningeweka suggestion kwenye suggestion box ila at the end wanafungua wenyewe, so no way! Kwakweli I really feel bad and I dont think if will be able kuendelea kuwa mteja wao.


:A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down:
 
Kweli! wanaangalia mtu wana mjudge! ningekuwa na tumbo kubwa angesikiliza! I hate this fallacy! damnt
 
chukua action mkuu,achana nao funga account ukombe kila kilicho chako,
imewahi kutokea sehemu moja Tanzania mteja wa bank fulan alikutana na mazingira kama hayo ya kusumbuliwa,aliomba aelekezwe namna ya kufunga ukaunti na kukomba pesa yake yote,ilikua mushkeli ilibidi meneja awe mdogo!
 
pole sana mkuu...popote huduma isiporidhisha inakera sana...
customer-service-quotes-sayings-waiter-sarcastic-funny.jpg
kastama+kero.jpg
 
chukua action mkuu,achana nao funga account ukombe kila kilicho chako,
imewahi kutokea sehemu moja Tanzania mteja wa bank fulan alikutana na mazingira kama hayo ya kusumbuliwa,aliomba aelekezwe namna ya kufunga ukaunti na kukomba pesa yake yote,ilikua mushkeli ilibidi meneja awe mdogo!

Sure mkuu! Hapa kuna hela ilikuwa iingie huku ila hapa na process kufungua akaunti benki nyingine zinazojali wateja! I dont feel happy to invest here
 
Benki zote ndivyo zilivyo kuna watu wao wanapokelewa mlangoni mpaka kwa meneja. Hawapangi foleni kaunta
 
pole sana, hakuna hata benki moja yenye unafuu kwa bahati mbaya. bora ubaki tu hapo hapo............ au uhame, wateja mkipungua mtapunguza workload tuliobaki ndio wataanza kutusikiliza
 
watanzania tumekuwa wanyonge mpaka tunanyang'anywa haki zetu za msingi ilitakiwa na wewe umwakie halafu umfate bosi wake na kumuuliza kama huo ndio utaratibu ilishawahi kunitokea nbc sokoine drive nilipoona wananizungusha nikaamua nimwone boss wao ili anielze kama hizo ndio taratibu zao za kuhudumia watejailibidi aniombe radhi na kuanza kunishugurikia mwenyewe
 
Aiseh huo upuuzi siupendi ikitokea makavu laive ikibidi mkuu ake aje sipendi zarau aseeh,kuna kamoja NBC nilikakoromea kikuda kisa kazuri kalikua kadogo ka pritoni mwishoni
 
Ngozi nyeusi tukipata tunaringa sana. Sasa huyo demu alishindwa nin kukusaidia??
 
watanzania tumekuwa wanyonge mpaka tunanyang'anywa haki zetu za msingi ilitakiwa na wewe umwakie halafu umfate bosi wake na kumuuliza kama huo ndio utaratibu ilishawahi kunitokea nbc sokoine drive nilipoona wananizungusha nikaamua nimwone boss wao ili anielze kama hizo ndio taratibu zao za kuhudumia watejailibidi aniombe radhi na kuanza kunishugurikia mwenyewe

Yani! Nashindwa kuelewa logic ya biznes! sijui ni madudu gani! as if mi mtumwa au nilienda kuomba msaada! this sucks! I hate, I HATE, yani kila nikikumbuka natamani niende Azikiwe kwa DG wao! iko siku yao,
 
....eeeeh yaan kiujumla hili n tatizo la bank nying...nilikimbia nmb due to atm yangu ili x-pire..kupata mpya ikikuwa tamthilia....nkaenda crdb ila nmeona tatizo km lako mkuu tena lumumba branch...nkafungua nbc as another acc...nayo majanga watu wanaipigwa salio....tatizo n nn wakuu...BoT or upuuz wa mtu mmojamoja....
 
Aiseh huo upuuzi siupendi ikitokea makavu laive ikibidi mkuu ake aje sipendi zarau aseeh,kuna kamoja NBC nilikakoromea kikuda kisa kazuri kalikua kadogo ka pritoni mwishoni

wana underestimate wateja! kuna watu wa kudharau na wa kuheshimiwa kwao!
 
....eeeeh yaan kiujumla hili n tatizo la bank nying...nilikimbia nmb due to atm yangu ili x-pire..kupata mpya ikikuwa tamthilia....nkaenda crdb ila nmeona tatizo km lako mkuu tena lumumba branch...nkafungua nbc as another acc...nayo majanga watu wanaipigwa salio....tatizo n nn wakuu...BoT or upuuz wa mtu mmojamoja....

Mkuu sio watendaji wote wako hivyo! ni baadhi yao! sasa sijui what is gademu problem!!!
 
Back
Top Bottom