The Atheists Paradox

The Atheists Paradox

Can you provide us some evidence that apart from Aramaic Jesus spoken another Language.

Nowhere in History Jesus Spoke different languages.
That is just your imagination my friend.

Kuna tatizo kichwani mwako. Nimeandika Yesu Kristo ni Mungu then wewe unataka ushahidi wa Yesu kuongea Lugha nyingine. Sina uhakika kwamba aliongea lugha nyingine lakini kwa uwezo wake anaweza kuongea lugha yoyote. Sielewi Kama katika Uyahudi zama zile lugha zilizotumika ni zipi lakini kuna masimulizi ya kutosha kuhusu Bwana Yesu Kristo akiongea na watu wasio wayahudi ....
Jesus is God, that means he has no language barrier
 
Many languages. God is not limited to one language like Allah.

Jesus Christ is God, being God can speak in any language whatsoever is convenient at any circumstance.
However during his ministry to the lost sheep of the house if Israel, he spoke to them in Aramaic...

Jesus very likely spoke Aramaic, Hebrew, and Greek.

Kuna tatizo kichwani mwako. Nimeandika Yesu Kristo ni Mungu then wewe unataka ushahidi wa Yesu kuongea Lugha nyingine. Sina uhakika kwamba aliongea lugha nyingine lakini kwa uwezo wake anaweza kuongea lugha yoyote. Sielewi Kama katika Uyahudi zama zile lugha zilizotumika ni zipi lakini kuna masimulizi ya kutosha kuhusu Bwana Yesu Kristo akiongea na watu wasio wayahudi ....
Jesus is God, that means he has no language barrier

You guys need to get the grip of your faith.
One minute you are telling as "JESUS SPOKE MANY LANGUAGES" when we ask for evidence you come up with Stories! Is that how they teaches you?

You have NO evidence of your claim whatsoever.
All you have is Myth and unsupported tell stories.
You cant even pove to me that Jesus ever exist let alone the languange he spoke!
 
You guys need to get the grip of your faith.
One minute you are telling as "JESUS SPOKE MANY LANGUAGES" when we ask for evidence you come up with Stories! Is that how they teaches you?

You have NO evidence of your claim whatsoever.
All you have is Myth and unsupported tell stories.
You cant even pove to me that Jesus ever exist let alone the languange he spoke!

Tatizo lako ni kubwa Sana hata namna ya kukusaidia Mimi naona Kama nakutesa tu.
Hakuna aliyekosea katika kukuibu.
Nimekujibu kiujumla nikiamini wewe ni binadam kamili mwenye uwezo wa kutafakari.
Mimi najua ya kuwa Yesu Kristo ni Mungu. Kwa kuwa Mungu kunamfanya awe na uwezo si wa lugha tu Bali wa chochote kilichopo hata Kama akili za kibinadamu zitaona anakiuka sheria za kiasili
Kuhoji lugha gani Mungu aliongea ni matokeo ya uvivu wa kutafakari.
 
Tatizo lako ni kubwa Sana hata namna ya kukusaidia Mimi naona Kama nakutesa tu.
Hakuna aliyekosea katika kukuibu.
Nimekujibu kiujumla nikiamini wewe ni binadam kamili mwenye uwezo wa kutafakari.
Mimi najua ya kuwa Yesu Kristo ni Mungu. Kwa kuwa Mungu kunamfanya awe na uwezo si wa lugha tu Bali wa chochote kilichopo hata Kama akili za kibinadamu zitaona anakiuka sheria za kiasili
Kuhoji lugha gani Mungu aliongea ni matokeo ya uvivu wa kutafakari.

Ukishasema kuwa Wewe UNAJUA ina maana Unao ushahidi wa kutosha uliokufanya wewe kusema kuwa UNAJUA kuwa Yesu Kristo ni Mungu.

Sasa na Mimi nimekuomba Huo USHAHIDI uliokufanya Wewe UKAJUA 100% kuwa Yesu ni Mungu.
Manake wewe umevuka kabisa ile hatua ya KUAMINI TU peke yake.

Wewe umesema "UNAJUA".

Nasubiri Ushahidi mkuu.
 
Ukishasema kuwa Wewe UNAJUA ina maana Unao ushahidi wa kutosha uliokufanya wewe kusema kuwa UNAJUA kuwa Yesu Kristo ni Mungu.

Sasa na Mimi nimekuomba Huo USHAHIDI uliokufanya Wewe UKAJUA 100% kuwa Yesu ni Mungu.
Manake wewe umevuka kabisa ile hatua ya KUAMINI TU peke yake.

Wewe umesema "UNAJUA".

Nasubiri Ushahidi mkuu.

Ushahidi gani unautaka kuzidi ule wa yeye mwenyewe kusema atafufuka katika wafu na kweli akafufuka.
Akaweza kulisha kadamnasi kwa bipande vichache vya mkate na samaki.
Akabafilisha maji kuwa divai.
Alisema Adam hajakuwako yeye yupo.
Alisema anarudi kwa baba yake kwenye utukufu aliokuwa nao kabla kuwekwa misimgi ya ulimwengu.
Alirudisha sikio LA askari aliyekatwa na mfuasi wake.
Anaishi milele tangu kabla ya nyakati na hata sasa.
Kuwa Mkristo ni kuwa na Imani yenye ushahidi yakini.
 
How do you give evidence for gravity ?
How do you give evidence for electricity
How do you give evidence for you having mind or intelligence
Or all the above requires no rational for existence of Gravity, Electricity and mind apart of faith ?
Get out of your box

You man,the things mentioned above are not a prior. They are not before experience.
 
Mimi najua ya kuwa Yesu Kristo ni Mungu. Kwa kuwa Mungu kunamfanya awe na uwezo si wa lugha tu Bali wa chochote kilichopo hata Kama akili za kibinadamu zitaona anakiuka sheria za kiasili
Kuhoji lugha gani Mungu aliongea ni matokeo ya uvivu wa kutafakari.

Ushahidi gani unautaka kuzidi ule wa yeye mwenyewe kusema atafufuka katika wafu na kweli akafufuka.
Akaweza kulisha kadamnasi kwa bipande vichache vya mkate na samaki.
Akabafilisha maji kuwa divai.
Alisema Adam hajakuwako yeye yupo.
Alisema anarudi kwa baba yake kwenye utukufu aliokuwa nao kabla kuwekwa misimgi ya ulimwengu.
Alirudisha sikio LA askari aliyekatwa na mfuasi wake.
Anaishi milele tangu kabla ya nyakati na hata sasa.
Kuwa Mkristo ni kuwa na Imani yenye ushahidi yakini.

Si unaona Ulivyo jiabisha sasa.?

Mwanzo unasema "UNAJUA".
Nakuomba Ushahidi Unasema Ati Yesu KASEMA na Wewe Unaamini.!!!

Wewe u abwabwaja yote haya Kwa IMANI tu! Usiseme UNAJUA!
Hakuna Ulijualo.
 
You guys need to get the grip of your faith.
One minute you are telling as "JESUS SPOKE MANY LANGUAGES" when we ask for evidence you come up with Stories! Is that how they teaches you?

You have NO evidence of your claim whatsoever.
All you have is Myth and unsupported tell stories.
You cant even pove to me that Jesus ever exist let alone the languange he spoke!
You need to learn the meaning of evidence and not dismiss syndrome from non theisticaco cult.

Now answer me: When Jesus was talking to Pontius Pilate prior to His crucifixion, what language was He using?
 
I asked for Evidence please.
Words only is not doing any good here.
You must be living in delusional. Jesus even spoke Latin. When Jesus was talking to Pontius Pilate prior to his crucifixion, what language was He using?

In Mark 7:24-30, a Syrophoenician woman seeks out Jesus, who is in the region of Tyre. Mark specifically identifies her as Greek, "a Syrophoenician by birth." She asks Jesus for healing for her daughter and he responds in Greek,

I GAVE YOU ONE EVIDENCE: Now GIVE ME EVIDENCE THAT GOD DOES NOT EXIST.
 
Ukishasema kuwa Wewe UNAJUA ina maana Unao ushahidi wa kutosha uliokufanya wewe kusema kuwa UNAJUA kuwa Yesu Kristo ni Mungu.

Sasa na Mimi nimekuomba Huo USHAHIDI uliokufanya Wewe UKAJUA 100% kuwa Yesu ni Mungu.
Manake wewe umevuka kabisa ile hatua ya KUAMINI TU peke yake.

Wewe umesema "UNAJUA".

Nasubiri Ushahidi mkuu.
Jesus said HE IS GOD. Read Revelation 21:7. It can't be better than this.

By the way, JESUS IS GOD IS NOT A BELIEF IT IS AN IMPECCABLE FACT.
 
You need to learn the meaning of evidence and not dismiss syndrome from non theisticaco cult.

Now answer me: When Jesus was talking to Pontius Pilate prior to His crucifixion, what language was He using?

Before we discuss about what Jesus words or his action we need to provide some evidence that He did exist in the first place.
Why is it so hard for you to understand simple things?
 
Before we discuss about what Jesus words or his action we need to provide some evidence that He did exist in the first place.
Why is it so hard for you to understand simple things?
Simple proof. What is the meaning of 2015 AD? You can ask historians, will help you, after they finish ask them again why today is the year 2015? Thereafter ask them again what is B.C? Inaonekana hukwenda shule kijana.

NOW ANSWER MY QUESTION: PROVE TO ME THAT GOD DOES NOT EXIST.

Sina muda na assumptions na blah blah zenu. SWALI MOJA TU.
 
Before we discuss about what Jesus words or his action we need to provide some evidence that He did exist in the first place.
Why is it so hard for you to understand simple things?
Jibu swali kijana. When Jesus was talking to Pontius Pilate prior to His crucifixion, what language was He using?

HAKUNA KUKIMBIA kijana.
 
SWALI MOJA TU LINALO WANYIMA USINGIZI NON THEISTS.

Prove to me that God does not exist.
 
Jesus Christ is God, being God can speak in any language whatsoever is convenient at any circumstance.
However during his ministry to the lost sheep of the house if Israel, he spoke to them in Aramaic...

So which name did Jesus call his God in Aramaic?
 
Jesus has no God. Jesus is God.

Tell us
when jesus was Crucified he says " Eloi Eloi...means My God My God. .. Who was he calling? Himself?


And Lets examine your Bible and see who else was called God or Lord.


Angels" are called "God" many times in BIBLE.

The word "angels" in Psalm 8:5 is translated from Elohiym.
Acts 23:9, "...but if a spirit or an angel hath spoken to him, let us not fight against God." To fight against an angel is like fighting against God, because he is God's minister.

When Phillip was directed to baptize an eunuch in Acts 8, the angel of the Lord spake unto Philip (verse 26), this angel is described as the Spirit (verse 29) and the Spirit of the Lord (verse 39).

In Exodus 2, when Moses climbed up Mount Horeb, verse 2 says the angel of the LORD appeared in a burning bush. This same angel is described in verse 4 as the LORD and as God. And in verse 6, this same angel is described as "the God of thy father, the God of Abraham, the God of Isaac, and the God of Jacob." Acts 7:30-32,35,38 confirms that this angel is called "God."

Bible also says Satan is God.

For that matter, even Satan is called "the God" in 2 Corinthians 4:4. And "...Satan himself is transformed into an angel of light" (2 Corinthians 11:14). Therefore, false apostles and deceitful workers are also called gods.

Bible mention that Pagan Gods are God

The Hebrew word "Elohiym" is used to describe pagan gods as well (Exodus 22:20, Deuteronomy 32:39, Judges 16:23-24, 1Samual 5:7, Isaiah 37:38, Daniel 1:2, Micah 4:5).

So according to BIBLE there is lots and lots Of Lords and gods?
 
Tell us
when jesus was Crucified he says " Eloi Eloi...means My God My God. .. Who was he calling? Himself?


And Lets examine your Bible and see who else was called God or Lord.


Angels" are called "God" many times in BIBLE.

The word "angels" in Psalm 8:5 is translated from Elohiym.
Acts 23:9, "...but if a spirit or an angel hath spoken to him, let us not fight against God." To fight against an angel is like fighting against God, because he is God's minister.

When Phillip was directed to baptize an eunuch in Acts 8, the angel of the Lord spake unto Philip (verse 26), this angel is described as the Spirit (verse 29) and the Spirit of the Lord (verse 39).

In Exodus 2, when Moses climbed up Mount Horeb, verse 2 says the angel of the LORD appeared in a burning bush. This same angel is described in verse 4 as the LORD and as God. And in verse 6, this same angel is described as "the God of thy father, the God of Abraham, the God of Isaac, and the God of Jacob." Acts 7:30-32,35,38 confirms that this angel is called "God."

Bible also says Satan is God.

For that matter, even Satan is called "the God" in 2 Corinthians 4:4. And "...Satan himself is transformed into an angel of light" (2 Corinthians 11:14). Therefore, false apostles and deceitful workers are also called gods.

Bible mention that Pagan Gods are God

The Hebrew word "Elohiym" is used to describe pagan gods as well (Exodus 22:20, Deuteronomy 32:39, Judges 16:23-24, 1Samual 5:7, Isaiah 37:38, Daniel 1:2, Micah 4:5).

So according to BIBLE there is lots and lots Of Lords and gods?

They are called God ! Who called them God ? Did they personally enjoyed that title as Jesus Christ once says Before Ibrahim was, I am..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom