The Atheists Paradox

The Atheists Paradox

Mungu mwenye nafsi tatu ambazo hazigawanyiki?

Vipi nafsi zitakuwa tatu kama hazigawanyiki? Hapa umedhihirisha kuwa unaamini ujinga wa hali ya juu.

Nafsi moja ndio haigawanyiki lakini ukisema nafsi tatu tayari umeshazigawanya Mr. Juha. Je unaamini katika ujuha?

Ona unavyoamini ujinga. Unamwabudu Mungu wa Yesu halafu unasema Yesu ni Mungu na unmwabudu Mungu wa Yesu. Huu kama si ujinga ni nini?

Inawezekana ujinga umebadilika maana, tafadhali nieleweshe maana ya ujinga. Ujinga ni nini?


Nani amekufundisha kuwa Mungu ana nafsi tatu? Duniani kuna vituko kwei kwei!!

Ujinga naweza kukueleza kwa kutumia mfano ufuatao.
Muhammad alikuwa ni mtoto wa Abd Allah, Jina la Baba yake lilimaanisha mtumishi wa Allah.
Muhammad alikuwa kutoka kabila la Makuraish wa Makkah huko suadi arabia.
Makuraish walikuwa na mungu wao wakimwita Allah, huyu Allah alikuwa akikaa katika kijumba kidogo kiitwacho kaabah, makuraish walikuwa wanaenda kumwomba Allah katika kijumba hicho sambamba na watu wengine wakiabudu miungu wao na Wakristo na Wayahudi wakimwabudu Yhwh.
Allah wa kaabah alikuwa na watoto (Mabinti) watatu na wasaidizi wasiopungua 360, Muhammad alisikia habari za Mungu mmoja, hivyo akiwa Kuraish alikuwa anakerwa na ibada za Allah mwenye mabinti na wasaidizi.
Muhammad alijitenga kwa kipindi fulani, akiwa katika kujitenga mapangoni alipatwa na kifafa na kuona maruweruwe na kuanza kuweweseka kwa kuwa alikuwa anaweweseka na kutetemeka.
Alirejea kwa mke wake na kumwambia yaliyomkuta na kujigundua kuwa alikuwa amevamiwa na mapepo/mashetani.
Mke wake alimpeleka kwa Mjomba wake na kumsimulia yaliyomtokea mumewe, mjomba wake akawatuliza na kuwaambia kuwa wasiwe na wasiwasi kwa kuwa Muhammad kisha kuwa mtume
Baada ya hapo Muhammad alijiona amekuwa mtume na si kavamia na mashetani hii ikiwa ni baada ya kuambiwa na mjomba wa mke wake.
Muhammad aliamua kumkarabati Allah wa kaabah kwa kuwaondoa mabinti na wasaidizi, ili Allah awe mungu mpweke sawa na Yhwh aliyeabudiwa na Wayahudi na Wakristo.
Muhammad alinukuu baadhi ya mambo yaliyomo ndani ya mafundisho ya dini mbali mbali na kuweka mengine ya uwongo ili kupata aina ya dini ambayo ipo na mafundisho kutoka dini mbalimbali.

Ujinga unakuja pale mtu kama Nonda, kwanza anaamini kuwa kweli Muhammad ni Mtume wa Mungu kwa kupewa utume na mjomba wa mkewe, huku mwenyewe akifahamu wazi kuwa alikuwa amevamiwa na mashetani.
Ujinga kwa upeo wa juu ni kuamini kuwa Allah anakuwa Mungu wa kweli kwa kuwaondoa mabinti zake na wasaidizi wake.
 
Last edited by a moderator:
You can read it young man. I am not a kid like you who says things without evidence.

You are emotional already!! why???
I do not give evidence I am not in a court , i am only giving reasons of why i believe sth to be. If an argument is powerful then provide good reasons of why you believe sth to be so, but for you it seems you are emotional.
 
Ujinga naweza kukueleza kwa kutumia mfano ufuatao.
Muhammad alikuwa ni mtoto wa Abd Allah, Jina la Baba yake lilimaanisha mtumishi wa Allah.
Muhammad alikuwa kutoka kabila la Makuraish wa Makkah huko suadi arabia.
Makuraish walikuwa na mungu wao wakimwita Allah, huyu Allah alikuwa akikaa katika kijumba kidogo kiitwacho kaabah, makuraish walikuwa wanaenda kumwomba Allah katika kijumba hicho sambamba na watu wengine wakiabudu miungu wao na Wakristo na Wayahudi wakimwabudu Yhwh.
Allah wa kaabah alikuwa na watoto (Mabinti) watatu na wasaidizi wasiopungua 360, Muhammad alisikia habari za Mungu mmoja, hivyo akiwa Kuraish alikuwa anakerwa na ibada za Allah mwenye mabinti na wasaidizi.
Muhammad alijitenga kwa kipindi fulani, akiwa katika kujitenga mapangoni alipatwa na kifafa na kuona maruweruwe na kuanza kuweweseka kwa kuwa alikuwa anaweweseka na kutetemeka.
Alirejea kwa mke wake na kumwambia yaliyomkuta na kujigundua kuwa alikuwa amevamiwa na mapepo/mashetani.
Mke wake alimpeleka kwa Mjomba wake na kumsimulia yaliyomtokea mumewe, mjomba wake akawatuliza na kuwaambia kuwa wasiwe na wasiwasi kwa kuwa Muhammad kisha kuwa mtume
Baada ya hapo Muhammad alijiona amekuwa mtume na si kavamia na mashetani hii ikiwa ni baada ya kuambiwa na mjomba wa mke wake.
Muhammad aliamua kumkarabati Allah wa kaabah kwa kuwaondoa mabinti na wasaidizi, ili Allah awe mungu mpweke sawa na Yhwh aliyeabudiwa na Wayahudi na Wakristo.
Muhammad alinukuu baadhi ya mambo yaliyomo ndani ya mafundisho ya dini mbali mbali na kuweka mengine ya uwongo ili kupata aina ya dini ambayo ipo na mafundisho kutoka dini mbalimbali.

Ujinga unakuja pale mtu kama Nonda, kwanza anaamini kuwa kweli Muhammad ni Mtume wa Mungu kwa kupewa utume na mjomba wa mkewe, huku mwenyewe akifahamu wazi kuwa alikuwa amevamiwa na mashetani.
Ujinga kwa upeo wa juu ni kuamini kuwa Allah anakuwa Mungu wa kweli kwa kuwaondoa mabinti zake na wasaidizi wake.
Kama unataka kufuta ujinga angalia hizi video, vyenginevyo bakia na ujinga wako. Kama ujinga ni ujanja, wewe utakuwa ni mjanja mkuu.





Link 1. Muhammad - Prophet of Islam

Link 1. 1 Islam Guide: Who Is the Prophet Muhammad (Mohammed)?

Link 2. The Life of Muhammad The Prophet | Books on Islam and Muslims | Al-Islam.org

Hii zawadi kutoka kwa mtu kama Nonda kwa Nkwesa Makambo ili aweze kujitambua.

link4. Surat Maryam [19:36] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

If you worship God,... Alas! Listen to Jesus here: Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent. John 17:3


Go instead to my brothers and tell them, 'I am ascending to my Father and your Father, to my God and your God.'"
John 20:17



Link 5. God Allah - Does It Mean God?


Link 6. ISLAM: The Religion of All Prophets - GainPeace

Unamjua Allah ? Kwenye Biblia Allah inaandikwa hivi اللهُ
Sasa Soma hiyo Allah hapa,
Link Genesis 1 :: Arabic/English Online Bible

Link 2. Genesis 1 :: Arabic/English Online Bible

Je umeona Allah ngapi hapo? Jipongeze umefuta ujinga kidogo.Endelea kutafuta maarifa.

Upofu na ujinga unajionesha pale mtu anayejihisi ana elimu anapenda kejeli, dharau na matusi. Jipime kwa vigezo hivyo.
 
Last edited by a moderator:
Kama unataka kufuta ujinga angalia hizi video, vyenginevyo bakia na ujinga wako. Kama ujinga ni ujanja, wewe utakuwa ni mjanja mkuu.





Link 1. Muhammad - Prophet of Islam

Link 1. 1 Islam Guide: Who Is the Prophet Muhammad (Mohammed)?

Link 2. The Life of Muhammad The Prophet | Books on Islam and Muslims | Al-Islam.org

Hii zawadi kutoka kwa mtu kama Nonda kwa Nkwesa Makambo ili aweze kujitambua.

link4. Surat Maryam [19:36] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

If you worship God,... Alas! Listen to Jesus here: Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent. John 17:3


Go instead to my brothers and tell them, 'I am ascending to my Father and your Father, to my God and your God.'"
John 20:17



Link 5. God Allah - Does It Mean God?


Link 6. ISLAM: The Religion of All Prophets - GainPeace

Unamjua Allah ? Kwenye Biblia Allah inaandikwa hivi اللهُ
Sasa Soma hiyo Allah hapa,
Link Genesis 1 :: Arabic/English Online Bible

Link 2. Genesis 1 :: Arabic/English Online Bible

Je umeona Allah ngapi hapo? Jipongeze umefuta ujinga kidogo.Endelea kutafuta maarifa.

Upofu na ujinga unajionesha pale mtu anayejihisi ana elimu anapenda kejeli, dharau na matusi. Jipime kwa vigezo hivyo.

What the heck is this?
 
Last edited by a moderator:
You are emotional already!! why???
I do not give evidence I am not in a court , i am only giving reasons of why i believe sth to be. If an argument is powerful then provide good reasons of why you believe sth to be so, but for you it seems you are emotional.
FYI:
A claim without evidence is frivolous
 
You are emotional already!! why???
I do not give evidence I am not in a court , i am only giving reasons of why i believe sth to be. If an argument is powerful then provide good reasons of why you believe sth to be so, but for you it seems you are emotional.
Huyo jamaa anaongozwa na mapepo. Usishangae.
 
FYI:
A claim without evidence is frivolous

what is evidence? and what is evidence of evidence? Do not limit yourself into evidences which are empirically proved. can you tell me the evidence of mathematical claims or logical claim.
I can even agree with your argument then question come to you what is the evidence of the existence of God.
 
Kama unataka kufuta ujinga angalia hizi video, vyenginevyo bakia na ujinga wako. Kama ujinga ni ujanja, wewe utakuwa ni mjanja mkuu.





Link 1. Muhammad - Prophet of Islam

Link 1. 1 Islam Guide: Who Is the Prophet Muhammad (Mohammed)?

Link 2. The Life of Muhammad The Prophet | Books on Islam and Muslims | Al-Islam.org

Hii zawadi kutoka kwa mtu kama Nonda kwa Nkwesa Makambo ili aweze kujitambua.

link4. Surat Maryam [19:36] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

If you worship God,... Alas! Listen to Jesus here: Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent. John 17:3


Go instead to my brothers and tell them, 'I am ascending to my Father and your Father, to my God and your God.'"
John 20:17



Link 5. God Allah - Does It Mean God?


Link 6. ISLAM: The Religion of All Prophets - GainPeace

Unamjua Allah ? Kwenye Biblia Allah inaandikwa hivi اللهُ
Sasa Soma hiyo Allah hapa,
Link Genesis 1 :: Arabic/English Online Bible

Link 2. Genesis 1 :: Arabic/English Online Bible

Je umeona Allah ngapi hapo? Jipongeze umefuta ujinga kidogo.Endelea kutafuta maarifa.

Upofu na ujinga unajionesha pale mtu anayejihisi ana elimu anapenda kejeli, dharau na matusi. Jipime kwa vigezo hivyo.


Ficha upumbavu wako. Allaah ina maana mbili katika kiarabu; Allaah ikimaanisha Sifa za kuwa mungu na Allaah ikiwa ni jina la mungu wa waislam.
Kama ulikuwa hujui jifunze sasa...." There is no God but Allaah " unaweza kufafanua sentensi hiyo ya Kiislam Kama akili yako yenye matatixo inajua kuwa Allaah ni Mungu ?

John 17:3
If we are supposed to worship Only one True God and Jesus Christ as you wrote, where does Allaah and Muhammad come from ?
Who ordained Allaah to be the object of worship instead of only one true God ? Remember; there is no God but Allaah

Be awake when reading Injili.

Why did Jesus said My father who is Your Father and My God who is Your God.
Instead of saying Our father and our God ?

Nafikiri kwa tuition hiyo utajipima kwa vigezo !

You tube na link hizo peleka madrasa kwa misukule mnayoiandaa kurithi ujuha wenu.
 
Last edited by a moderator:
Ficha upumbavu wako. Allaah ina maana mbili katika kiarabu; Allaah ikimaanisha Sifa za kuwa mungu na Allaah ikiwa ni jina la mungu wa waislam.
Kama ulikuwa hujui jifunze sasa...." There is no God but Allaah " unaweza kufafanua sentensi hiyo ya Kiislam Kama akili yako yenye matatixo inajua kuwa Allaah ni Mungu ?

John 17:3
If we are supposed to worship Only one True God and Jesus Christ as you wrote, where does Allaah and Muhammad come from ?
Who ordained Allaah to be the object of worship instead of only one true God ? Remember; there is no God but Allaah

Be awake when reading Injili.

Why did Jesus said My father who is Your Father and My God who is Your God.
Instead of saying Our father and our God ?

Nafikiri kwa tuition hiyo utajipima kwa vigezo !

You tube na link hizo peleka madrasa kwa misukule mnayoiandaa kurithi ujuha wenu.
Very good reply
 
Ficha upumbavu wako. Allaah ina maana mbili katika kiarabu; Allaah ikimaanisha Sifa za kuwa mungu na Allaah ikiwa ni jina la mungu wa waislam.
Kama ulikuwa hujui jifunze sasa...." There is no God but Allaah " unaweza kufafanua sentensi hiyo ya Kiislam Kama akili yako yenye matatixo inajua kuwa Allaah ni Mungu ?

John 17:3
If we are supposed to worship Only one True God and Jesus Christ as you wrote, where does Allaah and Muhammad come from ?
Who ordained Allaah to be the object of worship instead of only one true God ? Remember; there is no God but Allaah

Be awake when reading Injili.

Why did Jesus said My father who is Your Father and My God who is Your God.
Instead of saying Our father and our God ?

Nafikiri kwa tuition hiyo utajipima kwa vigezo !

You tube na link hizo peleka madrasa kwa misukule mnayoiandaa kurithi ujuha wenu.

kwa kushindwa kwako kujipatia maarifa kutoka kwa watu ambao walikuwa kama wewe,(wajanja wakuu) na baadae waliona mwangaza, inaonesha jinsi ulivyo kwenye Giza nene.

Umeshasema Allah ina maana mbili nini kimekupelekea kusema Allah ya katika sentensi ya kiislamu si Mungu?

Eti tuition, Hizo tube ni za zile mtu zilikuwa na jeuri kama wewe, kejeli kedekede lakini walipokutana na ukweli walisalimu amri. Kama unaogopa kuangalia tube, endelea na Upaulo wako.
Na Allah ni shahidi wa unayoyafanya.
Mungu akupe ujasiri wa kuangalia hizo tubes ili ujione ulivyo mwepesi.
 
kwa kushindwa kwako kujipatia maarifa kutoka kwa watu ambao walikuwa kama wewe,(wajanja wakuu) na baadae waliona mwangaza, inaonesha jinsi ulivyo kwenye Giza nene.

Umeshasema Allah ina maana mbili nini kimekupelekea kusema Allah ya katika sentensi ya kiislamu si Mungu?

Eti tuition, Hizo tube ni za zile mtu zilikuwa na jeuri kama wewe, kejeli kedekede lakini walipokutana na ukweli walisalimu amri. Kama unaogopa kuangalia tube, endelea na Upaulo wako.
Na Allah ni shahidi wa unayoyafanya.
Mungu akupe ujasiri wa kuangalia hizo tubes ili ujione ulivyo mwepesi.

Nitaendelea kukushauri ufiche upumbavu wako. Kila andiko unaloandika kujibu hapa linabeba upumbavu mkubwa kuliko lililotangulia.
Nimesema Allaah Ina maana mbili na nimegundua kuwa Allaah ya waislam ni jina la mungu wao na sio jina mungu kwa kiarabu
Sababu niliyoiweka ni andiko LA; there is no God but Allaah hapo Allaah jina la mungu na sio maana ya kuwa mungu.
Maarifa ningeyapata kwako wewe uliyeangalia na ambaye uko huko siku nyingi ukionyesha ni kipi ambacho hao misukule walikiona ambacho labda Mimi sijakiona na sio kunijazia YouTube ingekuwa hivyo nami ningekuwekea YouTube za waliokuwa wanamtafuta Allaah kwa nia njema na bidii wakajikuti wanamkuta Yesu Kristo ambaye walikuwa wanamponda.
Mtume Paulo Naye amewahi kuishi maisha ya kumuudhi Mungu huku nafsi yake ikijiburudisha na imani kwamba inwamini Mungu na kutenda yapasayo wakati kimsingi ilikuwa inamuidhi Mungu.
Endelea kusoma hapa iko siku utajua ukwrli na hutakaa umwabudu Ibilisi tena
 
Nitaendelea kukushauri ufiche upumbavu wako. Kila andiko unaloandika kujibu hapa linabeba upumbavu mkubwa kuliko lililotangulia.
Nimesema Allaah Ina maana mbili na nimegundua kuwa Allaah ya waislam ni jina la mungu wao na sio jina mungu kwa kiarabu
Sababu niliyoiweka ni andiko LA; there is no God but Allaah hapo Allaah jina la mungu na sio maana ya kuwa mungu.
Maarifa ningeyapata kwako wewe uliyeangalia na ambaye uko huko siku nyingi ukionyesha ni kipi ambacho hao misukule walikiona ambacho labda Mimi sijakiona na sio kunijazia YouTube ingekuwa hivyo nami ningekuwekea YouTube za waliokuwa wanamtafuta Allaah kwa nia njema na bidii wakajikuti wanamkuta Yesu Kristo ambaye walikuwa wanamponda.
Mtume Paulo Naye amewahi kuishi maisha ya kumuudhi Mungu huku nafsi yake ikijiburudisha na imani kwamba inwamini Mungu na kutenda yapasayo wakati kimsingi ilikuwa inamuidhi Mungu.
Endelea kusoma hapa iko siku utajua ukwrli na hutakaa umwabudu Ibilisi tena

Sasa maandiko yako yamejaa nini kama sio upumbavu?
Nimesema Allaah Ina maana mbili na nimegundua kuwa Allaah ya waislam ni jina la mungu wao na sio jina mungu kwa kiarabu
Unazungumza lugha gani wewe?

Allah ni jina la nani?
Allah sio jina la nani?
Yaani huu unaoandika wewe umevuka vipimo vyote vya upumbavu.

Unajichanganya na kujiona ndio mgunduzi. Umegundua nini? Kamu Mungu si Mungu? Au jina la Mungu si Mungu? Jina la Mungu halizungumzii Mungu?

Huu ulimwengu kwa "elimu" yako ina Mungu ngapi?
Mungu ngapi zimeumba ulimwengu huu?

Jibu hayo maswali ujione unavyoonesha huu upumbavu wako.

Arifu Mungu ni mmoja tu. Lakini siye huyo unayemwabudu wewe. Mungu aliyebuniwa na Paulo.

Mungu wa kweli ni yule aliuumba ulimwengu na alimuumba Adam na Hawa. na pia Ni Mungu wa Yesu.

Mungu huyo anaitwa Allah.

Wewe unamwabudu Mungu yupi?

Natumai iko siku utafahamu maana ya hii ayat

Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent.

"But about that day or hour no one knows, not even the angels in heaven, nor the Son, but only the Father.


Kama unaifahamu ayat hii

"But about that day or hour no one knows, not even the angels in heaven, nor the Son, but only the Father.

Usingeweza kujifanya kutoifahamu hii
there is no God but Allaah

link What is the meaning of there is no God but Allah?

link 2. Shahada - Wikipedia, the free encyclopedia

Kuna mdau anakujibu hivi:

First of all, it is important to note that "Allah" is the same word that Arabic-speaking Christians and Jews use for God. If you pick up an Arabic Bible, you will see the word "Allah" being used where "God" is used in English. This is because "Allah" is a word in the Arabic language equivalent to the English word "God" with a capital "G". Additionally, the word "Allah" cannot be made plural, a fact which goes hand-in-hand with the Islamic concept of God.
To say that Muslims worship a different "God" because they say "Allah" is just as illogical as saying that French people worship another God because they use the word "Dieu", that Spanish-speaking people worship a different God because they say "Dios" or that the Hebrews worshipped a different God because they sometimes call Him "Yahweh." Certainly, reasoning like this is quite ridiculous! It should also be mentioned, that claiming that any one language uses the only the correct word for God is tantamount to denying the universality of God's message to mankind, which was to all nations, tribes and people through various prophets who spoke different languages.
You think all normal people say God?
YOU THINK ALL CHRISTIAN SAY GOD?
How many of you think Christian Say God?
You know better bcoz the majority of Christian do not speak English and its for sure NO PROPHETS NEVER USE THAT WORD AND JESUS HIMSELF NEVER USED THAT WORD.
ITS AN ENGLISH WORD. THERE WAS NO ENGLISH LANGUAGE UNTIL THE NORMAN INVADED THE SAXON IN THE YEAR 1066 AD. A thousand years after the MESSIAH JESUS (PBUH). But the word Allah was Here because the word Allah is part of the Semitic Language.
Read The last Testament Of God On Line
http://www.dar-us-salam.com/T...
(source: If Allah mean God to the muslim and they say "There is no God but Allah" than who or what on earth is Allah? )

Natumai utasafisha bongo yako kwa hii elimu ya bure unayoipata hapa kwa hisani ya JF.

Bw. Uliyeelimika nieleze tofauti uionayo katika matamko haya:

1. There is no god but God, Muhammad is the messenger of God.
2.
that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent.
 
[video=youtube;h8P[/QUOTE]
We have thousands of tubes that shows the opposite of what you posted. In fact, one tube covers millions at one time.

 
Last edited by a moderator:
what is evidence? and what is evidence of evidence? Do not limit yourself into evidences which are empirically proved. can you tell me the evidence of mathematical claims or logical claim.
I can even agree with your argument then question come to you what is the evidence of the existence of God.
1. You said God does not exist.

Support you claims with empirical, testable, repeatable and verifiable evidence.
 
1. You said God does not exist.

Support you claims with empirical, testable, repeatable and verifiable evidence.
First i did not say that God does not exists but rather we cannot establish a rational grounds for his existence. Anyway, you wanna me provide for you a testable and empirical facts of non existence of God.Then If i were an Atheist i would say that God is not testable, verifiable and not material. Therefore he or she does not exist, very simple and easy young fella. However i cannot claim that way because reality is not only material things or empirical things which you seem to deny.
you seems to be an empiricist, I got a good question for you.
HOW DO YOU ESTABLISH THE EXISTENCE OF GOD WITH YOUR EMPIRICISTS-MIND.You seems to support the existence of God but in a really sense you deny his existence. Answer for me that question please i would love to have your reply.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom