Africa?
check namba 11
Africa?
Nilishawahi kupand Qatar airways jinsi wale mabinti wahudumu walivyokuwa wakarimu hadi nikafikiri wananitaka kimapenzi. bado kidogo mswahili mimi nitie aibu.
Thubutu! nilikuja kugundua kuwa ule ukarimu walikuwa wanamwonyesha kila abiria mule sio mimi peke yangu. hatimaye nikanyong'onyea.hahaha ungetongoza mmoja pengine walikuwa wanakutaka kweli..
Ukiwa unatokea ulaya Ethiopians airline unapanda Dream line,kutokea Ethiopia kuja Tanzania ni boeing ya kawaida si unajua tena masaa matatu hivyo hawatoi ndege nzuriEthiopian airline vip? maana ndio ndege nilioipanda...ila kwa kweli ndege zinazokuja huku hasa Tanzania siyo nzuri sana kama za huko ulaya.
Mkuu umeaahau fastjet
Je, kama keshapanda shirika moja tu? Atasemaje?
List ya kwenye post kuu inaonekana kuwa exhaustive.
Sasa mtu anayependekeza vingine naye awe exhaustive kidogo. Kwa mfano, mimi nimeshapanda Lufthansa, Swiss International, Austrian Air, Emirates, Ethiopian Airline....katika list yangu ya mashirika bora naweza sema: 1. Swiss, 2. Lufthansa, 3. Emirates, 4. Austrian Air, na 5. Ethiopian Airline.
Sasa nikisema tu kwamba, mimi kwangu Swiss International ni namba 1, bila kuonyesha namba moja kati ya mashirika yepi, inakuwa siitendei haki thread!
Ni mtazamo tu!
Ethiopian airline vip? maana ndio ndege nilioipanda...ila kwa kweli ndege zinazokuja huku hasa Tanzania siyo nzuri sana kama za huko ulaya.
Ndege zinazokuja Tanzania hazina tofauti na zinazo kwenda sehemu nyingine. Tena ni nzuri zaidi ya zinazosafiri ndani ya Ulaya na ndani ya Marekani.
Natamani kujua Tz ni ya ngapi bila kujali umbali wake na ile ya kwanza
haaa hivi Malaysian airline no 5? seriously?