Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,254
Ok hivi SABENA na KLM hazipo tena siku hiz au hazipo kwenye top 20?
Ipo top 10 toka chini
Hyo ndege inabeba watu wangap?? Kwanin wasiilist DSE"??
Air Tanzania hata haiko kwenye orodha ya airline 205 zinzojulikana duniani. Sasa hiyo ndege moja kuiweka DSE ni kupoteza muda. Ila nina imani huko Lyods Insurrance itakuwa imeandikishwa ili ikipata ajali iweze kulipwa.
Kweli wewe ni mzalendo!mbona hujaweka air Tanzania??
mkuu. Bulldog
Labda ni kwa yale ambayo keshapanda na ndo maana akasema kwake nambari moja ni Qatar.
Natamani kujua Tz ni ya ngapi bila kujali umbali wake na ile ya kwanza
Kwanza mna ndege??