The 20 Best Airlines In The World

The 20 Best Airlines In The World

Na sio lazima upande yote hata ukikutana na waliopanda mengine mka share experience unaweza jua lipi bovu lipi zuri..niliwahi mention KLM kwa watu walio wahi panda wacha waliponde hasa kwenye msosi....yaani nimejikuta sitaki hata kulijaribu sababu ya feedback za waliolipanda

Mkuu usije jaribu KLM,wadachi hamna kitu.Sio tu chakula hata entertainment zao hovyo pia,labda kwa denge zao za route nyingine,ila kwa route ya Dar to Schiphol haina maraha kama ice ya emirates.
 
Inategemea unacho prefer...wengine ukarimu wengine msosi...

Niliacha kupanda KLM...ila my next flight lazima nitumie KLM maana nilikutana na pilot charming sana JNIA juzi kati...mpaka nika feel vibaya kwa nini sikuwa mmoja wa abiria wake...alikuwa ana chat na kila mtu na kumuuliza kama ni mmoja wa abiria wake; ndege yao ilikuwa late siku hiyo...I said no...akauliza why...nikamwambia price yenu iko juu kuliko hili shirika nalotumia leo...akanambia next time panda KLM bana...

Kama kuna shirika la hovyooo ni Egypt Air....ukarimu sifuri...cheap ni very expensive...

Afu kuhusu msosi juzi nimepitia article moja yahoo wanasema chakula hata kiwe kitamu vipi ukiwa meter 10,0000 juu kinakuwa na taste mbaya.... na nimekubaliana na hilo

Emirates nimepanda ila i remember nothing...wakati mwingine mimi najali kufika zaidi...

Ila nachojali kingine ni kilo...KLM ni 46 check in Emirates 30
 
Source ya hizi ranking ni ipi? And how reliable is it? Maana siku hizi kila mahali online kuna ranking na zina tofautiana kwahiyo inabidi uangalie ipi ni reliable maana zingine zipo kibiashara

Binafsi Emirates hawajawahi kuniangusha.Nimewahi tumia KLM na Oman air ila kwa huduma na comfortability hawaifikii emirates. Next is Qatar,sijawahi tumia hawa waarabu wa Doha ili niwalinganishe na Emirates

Panda, utaona
 
Mkuu usije jaribu KLM,wadachi hamna kitu.Sio tu chakula hata entertainment zao hovyo pia,labda kwa denge zao za route nyingine,ila kwa route ya Dar to Schiphol haina maraha kama ice ya emirates.

Mara nyingi ndege ambazo huja JNIA na JRO ni kuukuu sana.

Ila tuseme unapandia kutoka Schiphol kwenda NY, LA, ATL, Miami, kwingine dunia ya kwanza, ndege zao huwa bomba sana.

Hata BA wakati bado wanakuja Tanzania ilikuwa hivyo hivyo. Ndege zao unazopanda tokea US kwenda London Heathrow ni nzuri sana kuliko zilizokuwa zinatoka London Heathrow kuja JNIA.

Hata Qatar ndege zinakojua Tanzania ni tofauti sana na zile zinazotoka Qatar kwenda US, Europe, Asia, na Australia.
 
 
Last edited by a moderator:
Inategemea unacho prefer...wengine ukarimu wengine msosi...

Niliacha kupanda KLM...ila my next flight lazima nitumie KLM maana nilikutana na pilot charming sana JNIA juzi kati...mpaka nika feel vibaya kwa nini sikuwa mmoja wa abiria wake...alikuwa ana chat na kila mtu na kumuuliza kama ni mmoja wa abiria wake; ndege yao ilikuwa late siku hiyo...I said no...akauliza why...nikamwambia price yenu iko juu kuliko hili shirika nalotumia leo...akanambia next time panda KLM bana...

Kama kuna shirika la hovyooo ni Egypt Air....ukarimu sifuri...cheap ni very expensive...

Afu kuhusu msosi juzi nimepitia article moja yahoo wanasema chakula hata kiwe kitamu vipi ukiwa meter 10,0000 juu kinakuwa na taste mbaya.... na nimekubaliana na hilo

Emirates nimepanda ila i remember nothing...wakati mwingine mimi najali kufika zaidi...
Upo sahihi mkuu kuwa kila mtu na taste yake.Binafsi sina time na chakula kikubwa kwangu ni entertainment maana hewani bila kuburudika safari inaboa na sisi wazee wa economy viti vyetu haviwezi kuwa kitanda kwahyo kulala ni shida.

Ila mwisho wa siku japo tuna preference tofauti lazima kuwe na vile vigezo ambavyo ni vya msingi kwa kila mtu,kama kucheleweshwa kwa flight na kubadilishiwa flight kihunihuni(hili nimesikia sana kwa Turkish airways)
 
Mara nyingi ndege ambazo huja JNIA na JRO ni kuukuu sana.

Ila tuseme unapandia kutoka Schiphol kwenda NY, LA, ATL, Miami, kwingine dunia ya kwanza, ndege zao huwa bomba sana.

Hata BA wakati bado wanakuja Tanzania ilikuwa hivyo hivyo. Ndege zao unazopanda tokea US kwenda London Heathrow ni nzuri sana kuliko zilizokuwa zinatoka London Heathrow kuja JNIA.

Hata Qatar ndege zinakojua Tanzania ni tofauti sana na zile zinazotoka Qatar kwenda US, Europe, Asia, na Australia.

Ni kweli na sijui wanafanya hivi,sijui ni dharau au ni route haina faida.

Ipo hivyo hata kwa emirates pia,features za ndege yao kutoka DBX kwenda magharibi si mchezo,zina hadi USB port ya kuchaji simu na power supply kwa ajili ya laptop na access ya internet ukiwa angani lakini hii inayokuja bongo ni ya kizushi fulani
 
Nilishawahi kupand Qatar airways jinsi wale mabinti wahudumu walivyokuwa wakarimu hadi nikafikiri wananitaka kimapenzi. bado kidogo mswahili mimi nitie aibu.

pwahahahahhahah..nmechaka hadi dogo kanshangaa mkuu!!..
 
Natamani kujua Tz ni ya ngapi bila kujali umbali wake na ile ya kwanza

Ustaarabu ni kitu cha bure, hakukuwa na umuhimu wa ku-quote thread nzima, hata ungemention muhusika unayetaka kumtaja

BTW. Tanzania haipo hata top 2000

C.C kan'tangaze
 
Khaaaa mbona airtanzania haipo? Huu ni uonevu
 
Emirates wale waudumu wao, walikua wananikosha ukiwaaangalia sana wanakuacha na bonge moja la smile. basi mzee mzima nawatolea macho tu nione smile zao yaani unaweza sema mtoto kukuelewa kumbe ndo mbwembwe za kazi
 
Ahsante sana Mkuu Bulldog, nimeona... bichwa karibu litapasuka kwa misifa lol!!!! 🙂🙂
 
Last edited by a moderator:
Emirates wale waudumu wao, walikua wananikosha ukiwaaangalia sana wanakuacha na bonge moja la smile. basi mzee mzima nawatolea macho tu nione smile zao yaani unaweza sema mtoto kukuelewa kumbe ndo mbwembwe za kazi

Tanzania hatuna kitu kama hiko
 
Naona nyingi kutoka bara la Asia.
 
Back
Top Bottom