Thanx to mobile tracker,found back my phone

Thanx to mobile tracker,found back my phone

Kwahiyo MPESA ina-infringe privacy?
Mkuu hiyo inaweza kuwa ni moja ya package holes ambazo software developers wanajitahidi sana kuziavoid,na hackers ndio wanaotoa alert kwa developer/s na kuweza kuziondoa kwa kutoa updates ambazo zinakuja kuseal hizo hole/s,nadhani kama kweli litakuwa ni tatizo baada ya watu kuanza kupeleka malalamiko rasmi kwa wahusika hizo package lazima ziwe revised ili kuendelea kulinda personal privacy.Heshima,
Don.
 
ipo iyo software kwenye mobilestore.opera.com nadhani inaitwa antithefty bt inauzwa nilijaribu trial ipo cku ntatafuta full cracked yap iyo iko poa maana ina jiautostart pale unapowasha cmu hasa hzi symbian 60
 
yeah nimepata hii for symbian s60v2 full cracked http:// jishan.wapka.mobi/site_314.xhtml
 
katika somasoma niona hii kitu,nikasema wacha nijaribu nikabalisha laini saa hiyo msg ikakaingia kwa wife ikonyesha immei najuna langu kacm galaxy s samsun pia hata kwa web unaweza sidiwa kama una acount swali kama mtu reset kutoka kiwandani inakuaje?
 
Mie mwenyewe niliibiwa simu tarehe 19 July mwaka huu nikaipata baada ya wiki 3. Nina ka - samsung S7555 inakuja na hiyo technologia. Siku tatu baada ya kuibiwa rafiki yangu akanambia kuwa kuana namba XXX inatumia simu yangu. Nikaenda kutoa taarifa polisi, polisi wakaoda print out kutoka kampuni ya simu. Baada ya hapo polisi wakazifutatilia namba 2 alizokuwa anawasiliana zao. Baada ya wiki 2 mbili nikaipata simu yangu. Kwa kweli teknolojia hiyo ipo juu ile mbaya
 
Ni nzuri mtu wangu!
kweli haya makampuni yana tulet down, mimi nilivamiwa ndani usiku saa 8 wakachukuwa Nokia N-70 na lak 3na nusu mwaka 2009 nikaripot polic then tigo kwani nilikuwa nimesajili kumbuka seal no uandikwa pili risit ya kununulia ninayo ila niliambiwa hakuna njia ya kunisaidia.
Je, nini haja ya vi2 vyote hivi ktk usajili kama havisaidii!
 
Ni nzuri mtu wangu!
kweli haya makampuni yana tulet down, mimi nilivamiwa ndani usiku saa 8 wakachukuwa Nokia N-70 na lak 3na nusu mwaka 2009 nikaripot polic then tigo kwani nilikuwa nimesajili kumbuka seal no uandikwa pili risit ya kununulia ninayo ila niliambiwa hakuna njia ya kunisaidia.
Je, nini haja ya vi2 vyote hivi ktk usajili kama havisaidii!
 
Mie mwenyewe niliibiwa simu tarehe 19 July mwaka huu nikaipata baada ya wiki 3. Nina ka - samsung S7555 inakuja na hiyo technologia. Siku tatu baada ya kuibiwa rafiki yangu akanambia kuwa kuana namba XXX inatumia simu yangu. Nikaenda kutoa taarifa polisi, polisi wakaoda print out kutoka kampuni ya simu. Baada ya hapo polisi wakazifutatilia namba 2 alizokuwa anawasiliana zao. Baada ya wiki 2 mbili nikaipata simu yangu. Kwa kweli teknolojia hiyo ipo juu ile mbaya
Duh mkuu unabahati polisi wa kibongo mara chache sana kukubali kufanya kazi kama hizi labda wapate shinikizo
 
Back
Top Bottom