Lukenza, hii sio advertisement ya LG?
Mkuu hiyo kitu ni bomba sana ipo pia car tracking device. Kama una gari ya bei mbaya basi unafunga hii kitu na kunakuwa na monthly fees. Na wezi wengi wa magari wamekamatwa katika nchi mbali kutokana na hii device.
Nitahitaji hii nikirudi TZ ... kampuni gani TZ wanatoa hii huduma
<br />wakuu sim zote za samsung zina izo program ni nzuri sana.
Majibu anayo fige hapa chinimi natumia nokia5330 je naweza weka hii kitu? Nawasilisha.
Kwa wale wenye nokia kwenye ovi store kuna software za bure mimi natumia antitheft inafanya kazi kama hiyo ya LG
Wakubwa nimeipenda sana hii, but mie natumia Sony Ericsson vivaz je naweza pia kuweka hiyo phone tracker? Tusaidiane wakubwa
Mkuu inasaidia sana wakati mwingine.
Lakini kinacho niudhi mimi ni kuwa hivi hawa service provider wetu Voda,Tigo, Airtel nk wanashindwaje kujiorganise na kublock simu zote zitakazo ibiwa kwa imei no?
Mkuu kwanza nili take advantage kwa yeye kutojua najuaje kila sim card anayoweka? nikamwambia hiyo ni simu maalumu kwa kazi za ofisini hivyo hata afanye nini nitajua killa anachofanya inamitambo maalumu.
Alaa kumbe? lakini wapi hata weza kuitoa maana password ataitowa wapiPaul mbona unamwaga mtama kwenye kuku wengi? Kama huyo muhusika ni memba wa forum hii si atakuwa amefaidika na kuwaeleza wengine?