Thank You GOD...........Today Is My Day.

Thank You GOD...........Today Is My Day.

Happy birthday nduki napokea mwaliko Sina kikwazo wala tatizo la Kula na kunywa


Hahahaa broh mshana jr nimeipenda hii kiongozi.

Sasa mkuu kama kuna vileo vya asili na kitimoto haiwezi kuleta shida wangu wa kazi...?.

Miss you sooo much broh.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa. Leo mi niko sehem nanyonya tu maziwa si unajua mtoto mchanga yake maziwa mkuu. Lol.

Unanitamanisha mkuu..ngja nami nichakarike...soon ntaanza kujinyonyea kiulaiiiin...teh.
 
images

images
Mkuu nduki namimi pia ni birthday yangu hureeeeeeeeeeeeeeeeeee... Happy birthday to you....same to me hahahaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Unanitamanisha mkuu..ngja nami nichakarike...soon ntaanza kujinyonyea kiulaiiiin...teh.

Hahahaaa, lakini unyonye maziwa ya chupa mkuu usinyonye kinginecho kiongozi...!
 
haaha usijal..najua boss wangu kwa uzoefu wako utanionesha maziwa sahihi...

Hahahaa, wee jamaa bhana. Unaweza ukaoneshwa maziwa sahihi halaf ukatoka nduki mkuu.

Ngoja atakuonesha maziwa sahihi ila uskimbie tu na hiyo kazi nampa mtu mmoja anaitwa Rakims.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaa, wee jamaa bhana. Unaweza ukaoneshwa maziwa sahihi halaf ukatoka nduki mkuu.

Ngoja atakuonesha maziwa sahihi ila uskimbie tu na hiyo kazi nampa mtu mmoja anaitwa Rakims.

Haaha Mkuu mbele ya utamu ni kukamatia, hakuna kukimbia...

Ebu Rakims kuja huku unioneshe maziwa sahihi...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom