habari wan JF,
naomba nianze kwa kusema nampenda sana mama .. yangu na mama wote, na hata akina mama wa JF, i love u mama....
tatizo langu ni kwanini hatuwapi credit akina baba mara kwa mara.. naomba nieleweke sipingi kuwa mama ana mzigo mkuuubwa sana, lakini hata baba yupo na mama siku zote.. tangu siku ile.. ashakhum si matusi.. wakati wa kuuubwa mpaka mtoto anazalia ..lakini kwa nini tumpa sifa nyiiingi mama na kumsahau baba hata kidogo.. mfano ni wanamuziki wangapi waneimba nyimbo kumpongeza baba... mimi sina kumbukumbu sana labda nyimbo za baba huwa hazi-hit ...may be.. mnaweza knisaidia hapa; lakini muziki wakumsifia mama...du baba yangu weeeee.. ni endless list... Boyz 2 men, spice girls, 2pac, banana zoro, qchila, mwaitenge... just to mention few,
baba works hard to make mama kuyatekeleza yake majukumu mengi.. therefre tuwakumbuke na kuwashukuru akina baba..
Baba Thank you and i love you....
naomba nianze kwa kusema nampenda sana mama .. yangu na mama wote, na hata akina mama wa JF, i love u mama....
tatizo langu ni kwanini hatuwapi credit akina baba mara kwa mara.. naomba nieleweke sipingi kuwa mama ana mzigo mkuuubwa sana, lakini hata baba yupo na mama siku zote.. tangu siku ile.. ashakhum si matusi.. wakati wa kuuubwa mpaka mtoto anazalia ..lakini kwa nini tumpa sifa nyiiingi mama na kumsahau baba hata kidogo.. mfano ni wanamuziki wangapi waneimba nyimbo kumpongeza baba... mimi sina kumbukumbu sana labda nyimbo za baba huwa hazi-hit ...may be.. mnaweza knisaidia hapa; lakini muziki wakumsifia mama...du baba yangu weeeee.. ni endless list... Boyz 2 men, spice girls, 2pac, banana zoro, qchila, mwaitenge... just to mention few,
baba works hard to make mama kuyatekeleza yake majukumu mengi.. therefre tuwakumbuke na kuwashukuru akina baba..
Baba Thank you and i love you....