ndupa
JF-Expert Member
- Jan 25, 2008
- 4,403
- 141
1.0 Kb...brain capacity...nonesense....hopeless....Yani sina hata wiki mbili chuo lakina nshapata demu duh thank god!
1.0 Kb...brain capacity...nonesense....hopeless....Yani sina hata wiki mbili chuo lakina nshapata demu duh thank god!
Hv huyu hajui hii amri "USITAJE BURE JINA LA BWANA MUNGU WAKO" Ebwana inakubid uende ukatubu kanisan
hata MMU hatutaki huu utoto kwa kweli!Sasa umekuja JF kureport? Kwan nan kakuuliza? Hizo ni tabia za kitoto,haya ungepeleka kule jukwaa la mahusiano na mapenzi huko,hili sio jukwaa la udaku.
Yani sina hata wiki mbili chuo lakina nshapata demu duh thank god!
Yani sina hata wiki mbili chuo lakina nshapata demu duh thank god!
Yani sina hata wiki mbili chuo lakina nshapata demu duh thank god!
Bila shaka ni product ya JANJA JANJA SCHOOLS, timamu hawezi kufikiri hivi! Uhuru wa mawazo labda.
Jf inachafuliwa na hawa Janja janja hawa, mods hawajamaa wasitumie jukwaa vibaya!!
hata MMU hatutaki huu utoto kwa kweli!
Naomba unafafanulie, ni kwa namna gani huyu mtu kakosea...