Thank God Slaa is not the president, and that will never be

Kuna quality za rais wa nchi na kuna quality za usanii!

Kuna busara ya kuwa kiongozi wa nchi na kuna busara ya kuwa kiongozi wa vikao vya harusi!

Bahati mbaya kuna namna ya kulazimisha mtu fulani a-fit sehemu fulani, bahati nzuri kuwa kila anapoweza kufit mtu ndipo anapowekwa kidemokrasia kutokana na akili za waliomweka hapo!

Kwa bahati mbaya mimi sina cha kufuata mkondo, sijawa mbwa mimi wala sina anayenipigia mluzi, ni huru kutoa mawazo pasi kujua au kujali mwingine ataumia vipii

Swala la Arusha, swala la lile sakata la umeya na madiwani, si swala la kuchekewa, damu imemwagika kule!

Ni ufisadi sana kufikiri kuwa yale tunayoyawaza sisi tu ndiyo yako sahihi.

Si busara Slaa kuingilia maamuzi ya madiwani ambao kimamlaka ni wawakilishi wa chama kule kwenye maeneo yao. sidhani kama rais anaweza kuingilia maamuzi ya mkuu wa wilaya kama yale maamuzi yalilenga katika kuleta amani na kusaidia wananchi wa eneo husika

Hii si aibu ya chadema tu, ni aibu ya uongozi wa juu, kutowatumaini wala kuwaamini hawa madiwani, ambao kwayo wanaleta na kusambaza sera za chadema; kibaya risk kubwa iko kuwa madiwani wengi zaidi watatumika kuiweka CCM madarakani kwani ni DHALILISHO LA MADIWANI WOTE....they are kids they can not think what a joke!!si busara hata kidogo na ni ufisadi wa kurubuni watu kuwa chadema ilikuwa haijui kinachoendela huko Arusha,

kila kitu kilikuwa wazi vyombo vilitangaza, na LEO ghafla akina slaa wanashtuka kama vile wamefumaniwa na wake za watu kuwa madiwani hawakuwa sahihi!

Miafaka ipo, haikwepeki inaishi, inakua inatafutwa, ili amani iwepo! HIVI ingekuwaje kama chadema wangekuwa chama tawala kwenye issue hii ya Arusha??Slaa umeishaharibu vitu vingi, ila wale vipofu wako wanaojaribu kwa upofu wao hata kukuona uko sawa na Nyerere! (God Forbid!) ili swal la Arusha limekaa kimaslahi zaidi na siyo ki-nchi zaidi! Nilijua ukimya huu umejengeka kibusara kumbe una kula tuition ya kuwa puppet!watu wako mahali fulani ambao wakilala na kuamka wanaota chadema ishike dola, wako watu mahali fulani wanaona credibility ya wabunge wa chadema, wako wanaoona kwa pandembili......Hivi SLAA ANGEKUWA RAIS ingekuwaje?

Slaa angezuia magazeti yasimchore katuni , SLAA ASINGEKUBALI KUTOKA MADARAKANI KWA NGUVU YA DEMOKRASIA.....Thanks God you are not president!

Swala la Arusha kwa namna nyingine limewaharibia tena.....Lema tunamjua, is just another gang in the house, nguvu za maneno na mob saikoloji havitamfikisha popote......certainly we need change but not changes that alerts us differently!!

MBIO ZA CHADEMA HII zinapeleka kuwa si chama cha demokrasia bali cha kibabe, jeuri, chama ambacho kingekuwa na dola wangekuwa madikteta.

Mbowe hana tatizo, yeye ili mradi biashara zake ziende salama in the name of politics!! bila kujua anamwingiza Slaa chooni, slaa bila kujali hatima yake na mtoto wake mchanga analipuka tu!!! TUTAFANYA UCHAGUZI UPYA WA MADIWANI....TUTAUNDA TUME YA MARANDO ......CCM style....shame on you!!!!!

Matatizo ya kwenda na Laptop Bar !!
 
umeandika kwa dharau sana, ila sio watu wote wenye upeo mdogo kama wewe, we unataka utuaminishe kwa mawazo yako! Unajiona umeandika point kumbe ni pumba tupu, kwa kifupi una allergy ya kufikiri!
 
Mkuu inaonekana unapenda sana uchafu weye! ulishasema post yako ya kwanza na kuutangazia umma wa JF kuwa nilichoandika ni pumba, naona sasa inapitia pumba moja moja!! LOL!

Unapenda uchafu sana mkuu, umezoea sana kukaa kwenye pumba, angalia mwenzio Mag3 alivyo msafi! amesema hawezi kukaa kwenye hii thread, ameandika ameondoka , japo amegusa kidogo!

Kwanini unazipenda pumba mkuu?
Umeshagundua kuwa uko uchi na sasa unaweweseka.Haondoki mtu hapa,utapewa ukweli.If too hot you know what to do.
 
DR SLAA kuwa mgombea wa urais alipendekezwa na CHADEMA kisha akathibitishwa na tume ya uchaguzi iliyo undwa na RAIS JK, kuwa DR anasifa zote muhimu kuwa RAIS wa nchi hii akapigiwa kura na WTZ 64% ya walio piga kura ( not you) Hadi hapa unasemaje ? Hata hivyo mbona unachoandika hakina correlation alipata taabu mwl. wako
 
Usijiite engineer tu, sema ni engineer ya taaluma ipi. Kwa ujumla umeaibisha!! Hivi hukumbuki kuwa hata Magamba Makamba alisema uchaguzi ulifanyika kihalali na hautarudiwa?? Au yeye ndiye mwenye mamlaka ya kuhalalisha mambo ya watu wa Arusha?? Ni tofauti gani kwa Slaa kusema hatambui makubaliano kati ya CCM-Chadema??

Ukitulia kidogo tu, utagundua una udhaifu sana katika kuchambua mambo. Sielewi kwanini unaandika kwa hasira tena ukiwa peke yako. Nakuomba uondoe hiyo title ya engineer, hakuwa uwiano kati ya unayoyaandika na fikra zetu juu ya kiwango cha elimu yako. Hebu jisitiri kidogo, achana na hoja hii usiyoweze kuilewa kbala hujaandika!!
 
Mkuu Engineer Bukuku, naomba uniambie fani yako mkuu, please nahitaji kujua
 
Hata mtoto wangu wa miaka miwili hawezi kuandika haya uliyoandika.

Kwnini unajidalilisha kiasi hiki.
 
Hata mtoto wangu wa miaka miwili hawezi kuandika haya uliyoandika.

Kwnini unajidalilisha kiasi hiki.
Shida ya kutumwa ni utumwa,huwezi kuwa na mawazo huru kwasababu unazungumza vya kutumwa.Anamezeshwa vizima vizima na yeye anavibugia na kuja kuvitapikia humu.Kaazi kweli kweli.
 
DR SLAA kuwa mgombea wa urais alipendekezwa na CHADEMA kisha akathibitishwa na tume ya uchaguzi iliyo undwa na RAIS JK, kuwa DR anasifa zote muhimu kuwa RAIS wa nchi hii akapigiwa kura na WTZ 64% ya walio piga kura ( not you) Hadi hapa unasemaje ? Hata hivyo mbona unachoandika hakina correlation alipata taabu mwl. wako
 
Slaa phobia inazidi kuongezeka kwa watu.

Mr Bukuku (nikikuita eng. nitakuwa nimekudhalilisha), nafikiri umekurupuka bila kufuatilia sakata lote la makubaliano lilivyokuwa. Kinachogomba Arusha si muafaka bali jinsi muafaka ulivyofikiwa, kwanza haukuwa na baraka za viongozi wa juu wa chama kwani ule sio tu muafaka wa madiwani bali wa CCM na CDM, lakini pia muafaka ule una harufu ya rushwa, magamba wamejipenyeza wakarubuni madiwani njaa wakakubali kujidhalilisha.

Lakini pia utaratibu haukufuatwa, madiwani walioshiriki hawakufika hata nusu ya madiwani wote, huo unauitaje muafaka?

CDM na Dr Slaa (PhD) ni makini na siku zote wamekuwa wakitaka haki na utaratibu vifuatwe, kuruhusu miafaka ya rushwa ni hatari zaidi kuliko hicho unachokisema wewe. Nadhani umenielewa Bw. Bukuku.
 
See how pro-chadema are throwing stones, mna umoja sana nyie! hongereni sana!

I am happy kuwa kumbe kuna natinalists wa matusi!

kama wote mna akili moja, mawazo tofauti yanatokea wapi?? aibu hii jamani acheni kujichoresha, mkijibiwa matusi mtakaa kweli?

angalieni Mushi, kaanza vibaya kuita post yangu pumba, nimemshtua kidogo tu! ni mkongwe hapa lakini busara ziro!

anaweka ligi, kama vile humu mna vikombe, watu wenyewe wanatumia ID za uwongo!!! what a joke!
 
See how pro-chadema are throwing stones, mna umoja sana nyie! hongereni sana!

I am happy kuwa kumbe kuna natinalists wa matusi!

kama wote mna akili moja, mawazo tofauti yanatokea wapi?? aibu hii jamani acheni kujichoresha, mkijibiwa matusi mtakaa kweli?

angalieni Mushi, kaanza vibaya kuita post yangu pumba, nimemshtua kidogo tu! ni mkongwe hapa lakini busara ziro!

anaweka ligi, kama vile humu mna vikombe, watu wenyewe wanatumia ID za uwongo!!! what a joke!
Situmii id ya uongo,na wewe una busara kusema mambo ya mtoto mchanga kwenye hoja yako hapo juu?How is it relevant to the matter?Kama matusi wewe ushayaanza,umesha sema kuhusu mama za watu kuwa wako uchi....U took it literarily "Uchi" tumia akili kidogo utajuwa nilimmanisha "Uchi wa kimawazo"Sasa wewe ndo ziro haswa.Shwain.
unajua ni wakati gani mama yako huwa anakuwa uchi?
 
Akifafanua upungufu huo, Dk. Slaa alisema kwanza maridhiano hayo hayakufikiwa na idadi ya wajumbe (madiwani) ambao wanaweza kufanya maamuzi, kwamba maridhiano hayo yalifanywa na wajumbe tisa kati ya 21 ya madiwani wote wa halmashauri hiyo.

Aliutaja upungufu mwingine kuwa mkurugenzi wa halmashauri ya jiji hilo alikubali kufanya muafaka bila ya kupata barua ya CHADEMA ya kukubali maridhiano ambayo ina majina ya walioteuliwa na chama hicho kupewa madaraka.

Aliongeza kuwa madiwani wa CHADEMA, watatu walioshiriki kwenye maamuzi husika walifanya hivyo bila kuwashirikisha viongozi wao wa wilaya, mkoa na makao makuu kwa ajili ya kupata baraka zao za kupendekeza majina ya watakaochaguliwa kuwa viongozi.

Alisema upungufu mwingine ni kuwapo kwa mianya ya rushwa ya kuwashawishi madiwani husika kushiriki kwenye maridhiano hayo pasipo kufuata taratibu zinazotakiwa.

Dk. Slaa alisema kutokana na matatizo hayo, CHADEMA haiyatambui maridhiano hayo na kudai kuwa yamefanywa kwa kupindisha kanuni na taratibu za kuwapata viongozi hao.

anachosema huyo jamaa ni hicho ambacho na mimi kimenichanganya. naona kama Dr ameshaweka conclusion sasa anaweka tume ya nini? maana tunarudia madudu ya CCM yaleyale kitu kidogo tu ambacho kinajulikana inawekwa tume. hivi hiyo tume ikisema walifuata taratibu vizuri kuna mtu hapa JF ataipokea vizuri hiyo taarifa? THINK!

na hiyo kujitapa kuwa tutawafukuza na tutarudia uchaguzi sikuipenda nafikiri CDM muangalie namna nyingine za mazungumzo siyo kila wakati kutishiana kufukuzana, unless kama walikula mrungula
 
anachosema huyo jamaa ni hicho ambacho na mimi kimenichanganya. naona kama Dr ameshaweka conclusion sasa anaweka tume ya nini? maana tunarudia madudu ya CCM yaleyale kitu kidogo tu ambacho kinajulikana inawekwa tume. hivi hiyo tume ikisema walifuata taratibu vizuri kuna mtu hapa JF ataipokea vizuri hiyo taarifa? THINK!

na hiyo kujitapa kuwa tutawafukuza na tutarudia uchaguzi sikuipenda nafikiri CDM muangalie namna nyingine za mazungumzo siyo kila wakati kutishiana kufukuzana, unless kama walikula mrungula
Hoja kuu ya huyu mtu si issue ya tume. Ni kwamba he is happy kuwa Slaa did not become a president na kwamba he never will be. Ameshindwa kujificha... Alitaka ajifiche nyume ya hayo mambo ya tume.

Hamna kitu hapa.
 
Nimeipitia kwa makini sana hii thread nimekuta Eng.Burton, kaelezea vitu vya ukweli mtupu, tatizo Pro-CDM-JF, wengi wao huwa wapo kama makinda ya bata yanamfata mama yao popote anapokwenda ata kama anavuka barabara, akili zao zimefunikwa na blankent jeusi na hawataki kulifunua ili wawe Breadth, wamekwenda mbali zaidi wanamuona a loser Dr Slaa kama Prophet, wao ni marufuku kumkosoa.

Thank God a loser Slaa is not President! And that will never be
 
Kuna quality za rais wa nchi na kuna quality za usanii!

Kuna busara ya kuwa kiongozi wa nchi na kuna busara ya kuwa kiongozi wa vikao vya harusi!

Bahati mbaya kuna namna ya kulazimisha mtu fulani a-fit sehemu fulani, bahati nzuri kuwa kila anapoweza kufit mtu ndipo anapowekwa kidemokrasia kutokana na akili za waliomweka hapo!

Kwa bahati mbaya mimi sina cha kufuata mkondo, sijawa mbwa mimi wala sina anayenipigia mluzi, ni huru kutoa mawazo pasi kujua au kujali mwingine ataumia vipii

Swala la Arusha, swala la lile sakata la umeya na madiwani, si swala la kuchekewa, damu imemwagika kule!

Ni ufisadi sana kufikiri kuwa yale tunayoyawaza sisi tu ndiyo yako sahihi.

Si busara Slaa kuingilia maamuzi ya madiwani ambao kimamlaka ni wawakilishi wa chama kule kwenye maeneo yao. sidhani kama rais anaweza kuingilia maamuzi ya mkuu wa wilaya kama yale maamuzi yalilenga katika kuleta amani na kusaidia wananchi wa eneo husika

Hii si aibu ya chadema tu, ni aibu ya uongozi wa juu, kutowatumaini wala kuwaamini hawa madiwani, ambao kwayo wanaleta na kusambaza sera za chadema; kibaya risk kubwa iko kuwa madiwani wengi zaidi watatumika kuiweka CCM madarakani kwani ni DHALILISHO LA MADIWANI WOTE....they are kids they can not think what a joke!!si busara hata kidogo na ni ufisadi wa kurubuni watu kuwa chadema ilikuwa haijui kinachoendela huko Arusha,

kila kitu kilikuwa wazi vyombo vilitangaza, na LEO ghafla akina slaa wanashtuka kama vile wamefumaniwa na wake za watu kuwa madiwani hawakuwa sahihi!

Miafaka ipo, haikwepeki inaishi, inakua inatafutwa, ili amani iwepo! HIVI ingekuwaje kama chadema wangekuwa chama tawala kwenye issue hii ya Arusha??Slaa umeishaharibu vitu vingi, ila wale vipofu wako wanaojaribu kwa upofu wao hata kukuona uko sawa na Nyerere! (God Forbid!) ili swal la Arusha limekaa kimaslahi zaidi na siyo ki-nchi zaidi! Nilijua ukimya huu umejengeka kibusara kumbe una kula tuition ya kuwa puppet!watu wako mahali fulani ambao wakilala na kuamka wanaota chadema ishike dola, wako watu mahali fulani wanaona credibility ya wabunge wa chadema, wako wanaoona kwa pandembili......Hivi SLAA ANGEKUWA RAIS ingekuwaje?

Slaa angezuia magazeti yasimchore katuni , SLAA ASINGEKUBALI KUTOKA MADARAKANI KWA NGUVU YA DEMOKRASIA.....Thanks God you are not president!

Swala la Arusha kwa namna nyingine limewaharibia tena.....Lema tunamjua, is just another gang in the house, nguvu za maneno na mob saikoloji havitamfikisha popote......certainly we need change but not changes that alerts us differently!!

MBIO ZA CHADEMA HII zinapeleka kuwa si chama cha demokrasia bali cha kibabe, jeuri, chama ambacho kingekuwa na dola wangekuwa madikteta.

Mbowe hana tatizo, yeye ili mradi biashara zake ziende salama in the name of politics!! bila kujua anamwingiza Slaa chooni, slaa bila kujali hatima yake na mtoto wake mchanga analipuka tu!!! TUTAFANYA UCHAGUZI UPYA WA MADIWANI....TUTAUNDA TUME YA MARANDO
Mkuu nakuunga mkono kwa mengi uliyoyasema. Hata mimi nilishangazwa sana na kauli hii ya Slaa na Lema. Ni ulimbukeni wakati mwingine ninafikiri. Na ninafikiri kunahitajika retreat; ni lazima Slaa na uongozi wa chadema wakubali kwamba wamekurupuka na wafute kauli zao dhidi ya wale madiwani.

Hata hivyo napenda nikupinge kwamba mkuu wa wilaya ni mteule wa rais, na anamwakilisha rais, kwa hiyo rais ana mamlaka juu ya mkuu wa wilaya. Pia rais ana mamlaka juu ya maamuzi ya yeyote yule katika nchi akiwemo mbunge, diwani na hata balozi ilmradi maamuzi yake yataonekana yanahatarisha mstakabali wa taifa. Lakini kwa level ya Slaa, ninafikiri kulikuwa na haja ya kufanya reconciliation na madiwani wake kabla ya kukurupuka na kutoa tamko kwenye vyombo vya habari.

Binafsi huwa sina shida sana na uwezo wa Slaa ila kinachonitatiza kwa huyu bwana ni wepesi wake wa kutoa matamko, hata yale yanayotokana na "hear say". Hiki kitu si chema kabisa kwa kiongozi wa juu wa chama hata wa nchi.
 
Nimeipitia kwa makini sana hii thread nimekuta Eng.Burton, kaelezea vitu vya ukweli mtupu, tatizo Pro-CDM-JF, wengi wao huwa wapo kama makinda ya bata yanamfata mama yao popote anapokwenda ata kama anavuka barabara, akili zao zimefunikwa na blankent jeusi na hawataki kulifunua ili wawe Breadth, wamekwenda mbali zaidi wanamuona a loser Dr Slaa kama Prophet, wao ni marufuku kumkosoa.

Thank God a loser Slaa is not President! And that will never be
Shida si hoja,kwani ni ngapi mmeanzisha threads za aina hii na mimi huwa najipitia zangu tu.

Tembelea threads zote mlizozianzisha hiyo group yenu ya kina Malaria Sugu,Foxy et al,zile zanye kumtukana Slaa muone kama niko humo. Nimeshangazwa na mtu mwenye taaluma ya ui engineer kuja na thread ya aina hii. Na maneno aliyoyachagua.

Unadhani ingekuwa wewe ama malaria sugu ningejali? Nyie ndo makinda na huwa nawapotezea tu. Huyu Injinia ndo tuko naye hapa.
 
DR SLAA kuwa mgombea wa urais alipendekezwa na CHADEMA kisha akathibitishwa na tume ya uchaguzi iliyo undwa na RAIS JK, kuwa DR anasifa zote muhimu kuwa RAIS wa nchi hii akapigiwa kura na WTZ 64% ya walio piga kura ( not you) Hadi hapa unasemaje ? Hata hivyo mbona unachoandika hakina correlation alipata taabu mwl. wako
Naona umekurupuka kutoka kwenye mbege, hizo data zako umezipata wapi! Lete Source JF, sio sehemu ya porojo
 

Similar Discussions

11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom