Thamani ya mke

Ninakuelewa mama, ni shughuli asikuambie mtu.
 
Wee acha tu wanawake hua tunajiongeza sana
Otherwise siku nyingine inakua balaa
Halafu cha kushangaza hapo mchepuko anaeza letewa kila kitu
Wewe wifey unaambiwa siko vizuri ndo tunaamua kutumia akili ya ziada
Ni shetani tu.
 
jamaa nae kadata kipuuzi... angewabeba watoto wote kwenda kwa bibi yao halaf akaanza kuwatafutia maswala ya shule.. mbona tatizo dogo tu hilo..!!!
 
Hapo hapo kuna watoto wawili wa wifi umeambiwa watakaa mpaka wamalize shule, unaona kabisa mkate hautoshi asubuhi, inabidi ukirudi kazini uumue unga wa maandazi na hulali mpaka uyakaange ili watoto wanywe chai.
Umeongea/umeandika kwa hisia sana.
 
Amen.....

asiione Shunie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…