Thamani ya chupi yako. Ilinde chupi, imebeba maagano, imebeba laana, imebeba baraka, imebeba mapepo

Jukwaa la dini liko public sasa hivi kila mtu anaona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaongelea zinaa au chupi? mie nilijua labda chupi zina nuksi Fulani nilitaka kuanza kuvaa kipensi cha jeans nikienda kugegeda
 
kununua chupi ununue wewe...kumvua amvue mwingineee.... kweli kipochi manyoya kina mambooo
 
Usemacho ni sahihi mkuu Mshana Jr

Nliponea chupuchupu kufanywa hanithi na mdada mmoja kutokea mkoa wa Kagera miaka ile ya 2000 mwanzoni baada ya kulazimisha nimwoe na mimi kukataa. Kumbe mwenzangu alipokuja ghetto aliondoka na nguo yangu ya ndani, na baadaye akanambia ukiweza kutom**ba tena mimi siyo Xxxxxxx.

Huwezi amini kutokea siku ile jogoo akawa hapandi mtungi, nilipambana kutafuta wataalam mikoa na mikoa ndiyo kwenda kuponea Rufiji ndani ndani huko.

Tangu siku hiyo hadi leo hii niko Makini sana na nguo zangu za ndani pamoja na zile tishu za kufutia Manii ambapo wadada wakati mwingine huzibeba baada ya kutufuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…