Thamani ya chupi yako. Ilinde chupi, imebeba maagano, imebeba laana, imebeba baraka, imebeba mapepo

Picha ya chupi jamani kunogesha

Sent using Jamii Forums mobile app
.
345041ed0192b9cd52d3e226cb672685.jpeg


Jr
 
mwenyew siku na access ya jukwaa la DINI ila nime jikuta nauona huu uzi jukwaa la Dini ivo nime kua granted na hiyo access sasa najiuliza apa nime pewa na access ya jukwaa la wakubwa au laaa wacha niendelee kuangalia kwenye haya majukwaa labda ntalionaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Jukwaa la dini liko public sasa hivi kila mtu anaona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaongelea zinaa au chupi? mie nilijua labda chupi zina nuksi Fulani nilitaka kuanza kuvaa kipensi cha jeans nikienda kugegeda
 
kununua chupi ununue wewe...kumvua amvue mwingineee.... kweli kipochi manyoya kina mambooo
 
Usemacho ni sahihi mkuu Mshana Jr

Nliponea chupuchupu kufanywa hanithi na mdada mmoja kutokea mkoa wa Kagera miaka ile ya 2000 mwanzoni baada ya kulazimisha nimwoe na mimi kukataa. Kumbe mwenzangu alipokuja ghetto aliondoka na nguo yangu ya ndani, na baadaye akanambia ukiweza kutom**ba tena mimi siyo Xxxxxxx.

Huwezi amini kutokea siku ile jogoo akawa hapandi mtungi, nilipambana kutafuta wataalam mikoa na mikoa ndiyo kwenda kuponea Rufiji ndani ndani huko.

Tangu siku hiyo hadi leo hii niko Makini sana na nguo zangu za ndani pamoja na zile tishu za kufutia Manii ambapo wadada wakati mwingine huzibeba baada ya kutufuta.
 
75 Reactions
Reply
Back
Top Bottom