mlimangulu
Member
- Oct 20, 2019
- 44
- 126
Ahsante sana kaka mshana kwa elimu murua sana, nashukuru kwa kutukumbusha juu ya kuziheshimu sehemu zetu za siri nacwale ambao tunaoshirikiana nao kuzifanya tendon la ngono limebeba baraka likifanyika kwa usahihi na limebeba laana likifanyika vibaya. Neno La Mungu linasema apatae mke apata kitu chema kumbuka ni mke wako wa ndoa.