Thadei Kweka aachiwa huru

Wenzetu wanalinda na kuthamini sana uhai, na usalama wa raia wao, hapa kwetu mtu na familia yake wanauwa raia wao zaidi ya elfu 10 ili tu abakie kuitwa rais wa nchi na amiri jeshi mkuu, ona Trump anavyopingwa na raia wake lakini hautosikia mtu katekwa wala kauawa.
 
NIME JIKUTA NANYANYUA MIKONO KUIOMBEA MAREKANI NA TRUMP MAISHA MAREFU, NA MUNGU AWABARIKI BILA HAWA MASIKINI TUNANYANYASWA SANA, HAWA NDO WAKUTU TETEA JUU YA HAWA VIONGOZI WETU WASIO NA UBINADAMU HATA KIDOGO
 
Dhama ya kipolisi, hakuwahi kupelekwa Mahakama ili awekwe ndani
TAREHE 31 ALIPANDISHWA MAHAKAMANI, INA MAANA HUJUI? AU UNATAKA KUJISAFISHA, WE WA WAPI MKUU? MBONA MNAPENDA KUDANDIA KESI BILA KUULIZA
 
Msingi wa utumwa umejengeka kwenye fikra za mtumwa mwenyewe.
 
Unajua nilikua na taarifa kuwa huyu Kweka si ndio yule mwana anaeishi USA imekuaje hawa wahuni kumchukulia poa maana Serikali yao ikiingilia kati hakuna rangi tutaweza kuiona kumbe kweli nadhani hata Wakili wa Serikali atakua kajua sasa maana ya USA alikua anadhani ni kama Malawi wapo watu wanasoma mpaka kupata kazi hawajui nguvu za USA kwenye Dunia hii..
Wameona mhh wanatafuta sababu wasije wakafanya kama Venezuela ikawa aibu aachiwe huyo Kweka na kesi ifutwe haraka sana..
 
TAREHE 31 ALIPANDISHWA MAHAKAMANI, INA MAANA HUJUI? AU UNATAKA KUJISAFISHA, WE WA WAPI MKUU? MBONA MNAPENDA KUDANDIA KESI BILA KUULIZA
Mashtaka yake yalikuwa nini, na nini Maamuzi ya Mahakama siku hiyo ?

Na sasa hivi amepewa dhamana ya kimahakama au ya kipolisi
 
Nadhani wahuni wamepata jotro baada ya kuona ya venezuela wakaona wampe dhamana na watamuachia huru US Citizen.
Ila tunajiexpose sana juu ya ujinga wetu wa kutokuwa na systems everywhere mambo yako shaghalabaghala.
 
Kwa kweli inasikitisha
 
Msingi wa utumwa umejengeka kwenye fikra za mtumwa mwenyewe.
Haya maneno machache, laakini imenilazimu niyasome mara tatu na kuyatafakari vizuri niweze kuwa na hakika nimeelewa unacholenga kukieleza.

Sasa kama ndivyo ilivyo hivyo mkuu 'lebabull', huyu "mtumwa" yeye kaumbwa kuwa mtumwa, maisha yake yote au siyo?

Hizi "fikra za mtumwa" zinaanzia wapi kujijenga ndani yake. Kuna uwezekano wowote wa kuzifuta akilini mwake?
 
Tangu miaka ya kudai Uhuru mapambano yanaendelea kubadilisha fikra za watu wetu.
Walikuwepo vibaraka na leo chawa. Wote hawa tatizo la msingi lipo kwenye fikra.
Tunatakiwa kuwafundisha watu wetu kuelewa utu wao kama Mungu alivyowaumba.
 
Nadhani wahuni wamepata jotro baada ya kuona ya venezuela wakaona wampe dhamana na watamuachia huru US Citizen.
Ila tunajiexpose sana juu ya ujinga wetu wa kutokuwa na systems everywhere mambo yako shaghalabaghala.
Kama uelewa wa Waziri Mkuu ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Serikali ndio ule wa Mwigulu Nchemba unategea nini? Moja katika hotuba zake za mwanzo kabisa alidai mabasi ya Esther sio ya kwake kwani mama yake haitwi Esther na mke wake anaitwa Neema huku kasahau Brela Kuna jina la kanyaboya mmoja na mke wake Neema. Kwa system hii ya kina Mwigulu kuji expose ni automatic. 😉😉
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…