TGIF: Yote tisa ngoma ni za Wasukuma, Wangoni na Wamakonde! hamtaki!!

utafiti nilikuambia umeshakamilika, ka-inzi kalitumwa mpaka jijini atlanta huko jimboni jojia na kalifika mpaka kwenye jili la mizuri huko kwa mtakatifu luizi

ps. katika ile group yenu iliyounganisha sinza road na simba road kulikuwa na jamaa fulani white kiasi jina limenitoka, alikuwa na dada bomba sana - hebu nikumbushe

Hako ka-nzi kako kameleta taarifa za uongo!

Sijawahi tia mguu Oshkosh mimi. Na sijawahi kuwa na group. I've always been solo.
 
Lazima, usimuache hata kidogo ......hata ngoma hazijui lakini anataka urais!


Sio kirahisi hivi
Itabidi nivunje taboo
Nitapambana na huyu mwanamme hadharani

NN, lazima kuwe na uchaguzi na tume iwe huru.
 
hahahahaaaa cha kukuzimisha nini baba wewe badala ungefungua mikono ukajitwalia katoto jamani?

anyway hapa si kufananishwa bana (na wewe sijui unafanana na wangapi?)
yule mwenzio mnayepigaga naye soga za mlimani, ukiacha Companero...lol!!

Shahidi namba moja nipo
 
  • Thanks
Reactions: bht
tukirudi kwenye mada kwa kweli mbio za mwenge wa uhuru enzi zile kablsa skini taiti hazijaingia zilikuwa na ngoma nzuri !
 
  • Thanks
Reactions: bht
Jamani mie hapo kwa Wangoni tu....mmenikumbusha mbali sana! Tuselebuke - Songe....Kitoto (chitoto) wilaya ya Tunduru
Yaani nikiwaga kule home ni lazima nitafute vikundi hivi vya ngoma! Anyways this year nakwenda tena
 
Back
Top Bottom