sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Nimeyaamini maneno yako, bht ashakuja lol.Naona mnataka kuanzisha ngoma ya mavuno humu humu ndani!
Hii thread lazima bht atie timu, subiri kidogo tu
Nimeyaamini maneno yako, bht ashakuja lol.Naona mnataka kuanzisha ngoma ya mavuno humu humu ndani!
Hii thread lazima bht atie timu, subiri kidogo tu
Hehehe! Usingekuja ningeandamana...lol
ooh ile ya "kwilole kagandakaganda...sunda sunda"?
Msinikumbushe Redio Tanzania Dar Es Salaam mimi jama!...Hivi iliishiaga wapi hiyo redio?
ooh ile ya "kwilole kagandakaganda...sunda sunda"?
Samahani Mr President, mwambie mkalimani wako atusaidie kutafsiri....hapa umetuacha wananchi wako.Gubyala ng'wana ngosha kwilolela bhano kaganda kaganga
Mle mona nu nina u Ngabu alibhina wisunda sunda!!
Ngabu hivi nawe pia ni Rais wa Wasukuma JF?
Kuna umuhimu wa kuongeza hiyo title
Kama hiyo title unayo, Bee alikuwa anaombi binafsi anataka kuliwasilisha
Ombi gani hilo?
Anataka Gaijin nae mwaka huu afike Ikungulyabashashi.....
Gubyala ng'wana ngosha kwilolela bhano kaganda kaganda
Mle mona nu nina u Ngabu alibhina wisunda sunda!!
hahahaa naona ushaliwasilisha japo nusu nusu
...nina wa g'wana na....nalisunda sunda .... Kuandika sijui bana
Ukimkubalia Gee na mimi unikubalie.hahahaa naona ushaliwasilisha japo nusu nusu