bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Kajitahidi lol
afadhali hata umesema kajitahidi...lol
Ngabu kuna mtu mi namuulizia, na naimani wewe lazima ujue alipo...lol!!
mara nyingi huwa nyie wawili mnashutumiwa pamoja...lol!
Kajitahidi lol
Kuna kipindi RFA huwa kinasikika usiku kati ya 4-6 huwa wanapiga ngma zetu fatilia...Msinikumbushe Redio Tanzania Dar Es Salaam mimi jama!...Hivi iliishiaga wapi hiyo redio?
Hii ni a slap in the face! Najuta kuisoma saa hizi :A S embarassed:
afadhali hata umesema kajitahidi...lol
Ngabu kuna mtu mi namuulizia, na naimani wewe lazima ujue alipo...lol!!
mara nyingi huwa nyie wawili mnashutumiwa pamoja...lol!
how did u miss it? it has gone viral re: Now That We Are All At Attention: | Mind of Malaka
Si hujaniletea hiyo link ndo maana nika i miss!
Naikubali tuselebuke ila nachelea kuitwa You Lazy (Intellectual) African Scum! | Mind of Malaka
Oshkosh? You got it wrong buddy.
nitakuonea wapi ilhali umeni...
Nani huyo?
Manake nshafananishwa na watu wengi sana.
Kuna siku moja nilikuwa mall namind bizness zangu kitoto cha takribani miaka mitatu hivi kikanikimbilia huku kikiniita 'daddy daddy'....almanusra nizimie!
Ngabu hivi nawe pia ni Rais wa Wasukuma JF?
Kuna umuhimu wa kuongeza hiyo title
vipi umehamia milwaukee uji-weupe vizuri zaidi ?
unawasiliana na TB wa Sinza Road ? na DK je?
vipi umehamia milwaukee uji-weupe vizuri zaidi ?
unawasiliana na TB wa Sinza Road ? na DK je?
Umeni ... ndo nini?
Hujataka tu ......unabania mpaka link? :tongue:
Umeni ... ndo nini?
Hujataka tu ......unabania mpaka link? :tongue:
Aisee huko WI hata kuishi sijawahi.
Nashauri urudi ufanye tena utafiti wako lol.
Oh yeah...Ngabu clan huko ni royalty.