TFF wasaidieni Yanga Afrika huko FIFA kama halikuwa goli kwanini refa hakuwapa Yanga kona wakati mpira ulitolewa nje kwa kichwa na beki wao?

covid 19

JF-Expert Member
May 9, 2014
4,904
10,705
Nimejiridhisha tena kwa mara nyingine mpira ule baada ya kutoka golini pale beki ya mamelod iliutoa kwa kupiga kichwa nje na kipa akaudaka mpira ukiwa nje umeshadunda chini

Sasa ninachojiuliza kama refa halikataa goli sasa si angewapa young african corner yao kwanini alifanya iwe goal kick wakati ilikuwa ni kona.

Kwenye hili TFF wasaidieni young african ni ugeni wa mashindano haya ndio umewatia unyonge jana
nawaambia ile jana ingekuwa team ya waarab jana wangegoma kucheza mpira kushinikiza refa akaangalie kwenye VAR.

Video yenye hii hapa angalia kuanzia sekunde ya 30

 
nimejiridhisha tena kwa mara nyingine mpira ule baada ya kutoka golini pale beki ya mamelod iliutoa kwa kupiga kichwa nje na kipa akaudaka mpira ukiwa nje umeshadunda chini

sasa ninachojiuliza kama refa halikataa goli sasa si angewapa young african corner yao kwanini alifanya iwe goal kick wakati ilikuwa ni kona.

kwenye hili TFF wasaidieni young african ni ugeni wa mashindano haya ndio umewatia unyonge jana
nawaambia ile jana ingekuwa team ya waarab jana wangegoma kucheza mpira kushinikiza refa akaangalie kwenye VAR.
video yenye hii hapa angalia kuanzia sekunde ya 30

View attachment 2955494
Hao TFF wangekuwa na msaada na Yanga wasingepanga mechi ya Azam na Yanga tarehe 17. Niliongea mapema sana humu jukwaani. TFF na Bodi ya Ligi wapo kimkakati zaidi katika upangaji wa ratiba
 
Mwenyewe niliwaza kama ingekuwa waarabu hilo patashika la kushinikiza VAR jinsi lingekuwa!

Lazima lingezaa hata kadi mbili za njano,akina Mkude jana wanang'aa sharubu tu pale.
Hata mimi nilishangaa watu walivyokuwa wametulia🤣🤣🤣
 
Yanga ingefunga na kushinda baadae wangedai hili goli?

Timu zote baadae zilipata equal opportunity (penalty kick) ambayo ingeamua yoyote apite wachezaji wa Yanga walishindwa kujisahihisha mwisho wa siku timu imetolewa.
 
Yanga ingefunga na kushinda baadae wangedai hili goli?

Timu zote baadae zilipata equal opportunity (penalty kick) ambayo ingeamua yoyote apite wachezaji wa Yanga walishindwa kujisahihisha mwisho wa siku timu imetolewa.
Duhhh! Samahani mkuu, hapa umeishirikisha brain kweli? Yaani umewaza ukawazua ndo ukaja na hiki?

Kwa hali hii CCM itaendelea kuiba kura mpaka Yesu arudi
 
Yanga ingefunga na kushinda baadae wangedai hili goli?

Timu zote baadae zilipata equal opportunity (penalty kick) ambayo ingeamua yoyote apite wachezaji wa Yanga walishindwa kujisahihisha mwisho wa siku timu imetolewa.
Refa angekubali goli, tungefika kwenye hizo penati?


Jibu hapo kwanza, maana umetumia ..inge...ya pili umeiruka ange..... ya kwanza
 
Binafsi mi ni timu simba ila yanga walinyimwa goli kabisa najaribu kujiuliza kama VAR room waliweza kumuita refa alipotoa kadi ya njano kwa lomalisa ikiwa lengo lao ajihakikishie mwenyewe ni sahihi kutoa ya njano? Ikiwa wachezaji wa mamelod walikuwa wamekubali na mchezo ukiendelea je VAR ilishindwaje tena kumuita refa ili akajirizishe kama lile sio goli? Ule ulikuwa mchongo toka mwanzo.
 
Back
Top Bottom