TFF wapongeza uteuzi wa Mwakyembe

TFF wapongeza uteuzi wa Mwakyembe

Hawa jamaa ofisi zao si zimefungwa na TRA kwa kukwepa kodi?
 
Tunakoelekea sasa hata akijamba tutapiga makofi .
 
Unasema hayo sababu ya mihemuko tu ya kisiasa. Ivi tangu nape awe mwana siasa, ulikuaga unamsapoti?
Siasa na maisha kwa ujumla wake siyo "STATIC" ni "DYNAMIC" (hubadilika) hivyo mbaya wako leo ndiye anaweza kuwa rafiki yako kipenzi kesho. Na kinyume chake pia.
 
Kama kweli Nape alishindwa michezo basi tusitegemee lolote kwa Mwakyembe. Hongera shujaa Nape.
 
Nape amekua rafiki yangu na urafik hauja aanza leo ni toka mwaka 2004 wakati anajiandaa kugombea uwenyekiti vijana ccm
Alikua nimtu wakutengeneza hoja mtu aliyekua na hofu ya Mungu, na mwenye kuamin anacho kiamin
Lkn pindi alipo ingia kwenye ukatibu iwenezi akawa sio Nape ninae mfaham..mpayukaji,jeuri
Lkn chaajabu alipo pewa wizara na kustaafu kile kitengo ambacho alimuachia Pole Pole
Mambo yakawa tofauti kabisa
Sasa nikawa na muona Nape yule wa kipindi kile 2005, mwenye hekima, ambae hayumbishwi na anacho kiamini
 
Back
Top Bottom