Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,734
- 20,483
Serikali inaweza kuingilia jambo lolote lie kwa maslahi ya wananchi wake. Utajuaje, pengine kuna ishu za kiusalama zimeonekana je?Serikali haipaswi kuingilia haya mambo, kuna sababu gani ya muhimu?