TFF wamethibitisha kauli ya Mexime

Serikali haipaswi kuingilia haya mambo, kuna sababu gani ya muhimu?
Serikali inaweza kuingilia jambo lolote lie kwa maslahi ya wananchi wake. Utajuaje, pengine kuna ishu za kiusalama zimeonekana je?
 
Serikali haihusiki na mpira. Wenye mamlaka ya kusimamia mpira ni TFF, wao ndio waliotunga sheria za soka, na wao ndio wasimamizi. Chochote kinachotokea kuhusiana na mpira, wanaulizwa wao, na sio serikali.
Wizara husika ipo chini ya TFF sio..

Hapa ni kitabu cha mzee basi hakuna jipya sijui walikuwa hawajui kama ni game leo
 
TFF imepokea maelekezo ya mabadiliko ya muda wa kuanza mchezo kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.


Someni vzr hiyo taarifa
IMG-20210508-WA0004.jpg
 
Serikali inaweza kuingilia jambo lolote lie kwa maslahi ya wananchi wake. Utajuaje, pengine kuna ishu za kiusalama zimeonekana je?
Kwani wangeandika hapo sababu sisi tungehoji hivi?
 
Sio kusogezwa mbele tu, serikali ina uwezo wa kuifuta kabisa mechi kwa siku fulani, na kuipeleka siku nyingine. Kumbuka sio TFF waliofanya hivyo, bali ni serikali kupitia BMT
Narudia kukuelewesha uwezo huo hawana na kama wanao taja kanuni.
 
Wizara husika ipo chini ya TFF sio..

Hapa ni kitabu cha mzee basi hakuna jipya sijui walikuwa hawajui kama ni game leo
Siasa na matakwa binafsi ndio yametumika kusogeza mbele hii mechi. Hakuna tatizo lolote la kiusalama.

TFF ilibidi isimamie sheria zake. Wizara ipo katika kusaidia soka, na sio kuendesha soka.
 
Siasa na matakwa binafsi ndio yametumika kusogeza mbele hii mechi. Hakuna tatizo lolote la kiusalama.

TFF ilibidi isimamie sheria zake. Wizara ipo katika kusaidia soka, na sio kuendesha soka.
Mama alitaka azindue kitabu na game acheki akasahau mshika mawili moja humponyoka
 
Kwa
Kuna watu wanadai ni sababu ya wachezaji waliofunga wafuturu kabisa... Wanasahau kuwa hata hivyi hao wachezako hawawezi kula chakula cha maana zaidi ya juice na maji ili wasije zingua kwenye game kitu ambacho wangeweza simamisha game kwa dak 5 wachezaji wakanywa hivyi vitu mbalanga likaendelea
tff ni wakurupukaji tu.Kwanza hyo ramadhan imekuja ghafla?Mbona ramadhan tunayo leo ni ck ya 25?
 
Kuna watu wanadai ni sababu ya wachezaji waliofunga wafuturu kabisa... Wanasahau kuwa hata hivyi hao wachezako hawawezi kula chakula cha maana zaidi ya juice na maji ili wasije zingua kwenye game kitu ambacho wangeweza simamisha game kwa dak 5 wachezaji wakanywa hivyi vitu mbalanga likaendelea
Wiki 3 kabla hawakujua kuwa kuna kufunga? Ni wajinga wajinga tu.
 
Kuna watu wanadai ni sababu ya wachezaji waliofunga wafuturu kabisa... Wanasahau kuwa hata hivyi hao wachezako hawawezi kula chakula cha maana zaidi ya juice na maji ili wasije zingua kwenye game kitu ambacho wangeweza simamisha game kwa dak 5 wachezaji wakanywa hivyi vitu mbalanga likaendelea
Wanasababu za kijinga sana kama hiyo ndio sababu. Kwani mfungo umeanza leo gafla? Kama mfungo umeanza takribani wiki tatu zilizopita kwann hawakuchukua maamuzi mapema? Mbona kunatimu nyingine zinacheza hata bila kufuturu au nazo hazistahili kupewa kipaombele?
 
Back
Top Bottom