TFF waandika broken English tena

TFF waandika broken English tena

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,041
Reaction score
134,310
FB_IMG_1507445282790.jpg
 
Mkuu kwema??
Nimejaribu kuangalia hiyo mistake, nachoona kwenye kuweka E wao wameweka R,
Hii sio broken bali nadhani ni ukaribu wa hizi herufi mbili (E&R) kwenye Keyboard,
Pengine alitaka kuandika E akajikuta anabonyeza R bahati mbaya,
Nimewaza tu lakini, sina uhakika
Walikuwa na haraka gani wasihariri?
 
Hivi hata hao waingereza huwa hawakosei uandishi?

Maana wabongo ukiandika kiingereza basi usikosee uandishi utaambiwa hujui kiingereza.
 
Mkuu kwema??
Nimejaribu kuangalia hiyo mistake, nachoona kwenye kuweka E wao wameweka R,
Hii sio broken bali nadhani ni ukaribu wa hizi herufi mbili (E&R) kwenye Keyboard,
Pengine alitaka kuandika E akajikuta anabonyeza R bahati mbaya,
Nimewaza tu lakini, sina uhakika
Pia alikuwa anakimbilia kuwa wa kwanza post,alishindwa hata kuhariri
 
Mkuu kwema??
Nimejaribu kuangalia hiyo mistake, nachoona kwenye kuweka E wao wameweka R,
Hii sio broken bali nadhani ni ukaribu wa hizi herufi mbili (E&R) kwenye Keyboard,
Pengine alitaka kuandika E akajikuta anabonyeza R bahati mbaya,
Nimewaza tu lakini, sina uhakika
Ni kwel kabisa ulichosema/waza Lakin kosa lao ambalo linajirudia mara nyingi ni KUTOKUHAKIKI(KUEDIT) KAZI zao
 
Back
Top Bottom