Katika kile Kinachoonekana udhaifu wa wazi,ama uelewa mdogo wa watendaji TFF juu ya suala zima la mawasiliano,kumesababisha kiungo wetu Taifa Stars kuikosa match na africa ya kati.Wanamwandikia email nizar badala ya timu ya whitecaps.Je hilo nalo linahitaji elimu ya chuo kikuu kweli?Whitecaps as a result wamekataa kumruhusu kutokana na ukiukwaji huo wa taratibu za mawasiliano.Hakika watu wawajibushwe ktk hili.Ni uzembe ulokithiri