OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,238
- 103,899
Mnataka wafanye nini tena ndio mchukue hatua kali. Wapeni adhabu ya kutoingia uwanjani msimu mzima. Haiwezekani watu na akili zetu tunaenda kuangalia soka tunakutana na mambo ya kipumbavu toka kwa watu wale wale.
Nashauri klabu yangu ya Simba SC itafakari namna ya kuzuia mashabiki wa Yanga kwenye mechi zake