TFF kwa hili Wingu, Mvua hii Kubwa na Hali ya Hewa isiyo Rafiki msione Aibu tu Kuahirisha Derby ya Leo kwa Mkapa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,647
109,036
Sasa Ni Saa 5 inaenda Saa 6 Mchana na Hali ya Hewa ni ya Mvua, Baridi na Upepo tusidanganyane kuwa Hali ya Hewa hadi Saa 11 Jioni muda wa Mtanange ( Mechi ) hii Mvua itakuwa imekata.

TFF na TPLB nawashauri I msione Aibu au kuingiwa na Uwoga kutangaza muda huu ( mapema hii ) kuwa Mechi ya Simba na Yanga imehairishwa kutokana na Hali ya Hewa mbaya ya Mvua Kubwa zinyeshazo sasa na kwamba ichezwe Jumatano ijayo au ipangiwe tarehe nyingine / mpya ila kwa GENTAMYCINE sioni dalili zozote za kuwepo kwa Mechi ya Leo na Mpira ukawa ni wa Kuvutia na Watu ( Mashabiki ) Kuufurahia.
 
Hakuna kitu kama hiki
Naziona dalili zote za Derby ya Leo Kuahirishwa kutokana na Hali ya Hewa mbaya iliyopo hasa leo na hii Mvua Kubwa sana inayonyesha karibia Dar es Salaam yote.
 
Upigwe tu hakuna namna. Mambo ya viporo na hizi ratiba za tff game baada ya wiki 2 hii ligi itaisha 2025.
Nahisi Mechi itahairishwa tu kwakuwa Uwanja wa Benjamin Mkapa hautokuwa katika hali nzuri ya Kuchezea kwakuwa utajaa sana Maji na utaondoa hata Labda yenyewe ya Soka zuri lililokuwa likitegemewa kama Mvua isingenyesha.
 
Acha Match Ichezwe Leo Usiharibu Ratiba Ya Ligi
Uwanja Ni Wa Kisasa Huo
Pitch ya Kuchezea si nzuri katika Kuchuja, Kuondoa na Kuyakausha kwa haraka Maji yakijaa. Acheni ligi ( ubishi ) wa Kipuuzi wakati Wengine tuna uzoefu wa Familiarization na huo Uwanja kwa Matukio ya Mpira au ya Burudani zingine kama kukiwa na Mvua Kubwa na isoyokatika kwa haraka.

TFF na TPLB ihairisheni hii Derby leo.
 
Sasa Ni Saa 5 inaenda Saa 6 Mchana na Hali ya Hewa ni ya Mvua, Baridi na Upepo tusidanganyane kuwa Hali ya Hewa hadi Saa 11 Jioni muda wa Mtanange ( Mechi ) hii Mvua itakuwa imekata.

TFF na TPLB nawashauri I msione Aibu au kuingiwa na Uwoga kutangaza muda huu ( mapema hii ) kuwa Mechi ya Simba na Yanga imehairishwa kutokana na Hali ya Hewa mbaya ya Mvua Kubwa zinyeshazo sasa na kwamba ichezwe Jumatano ijayo au ipangiwe tarehe nyingine / mpya ila kwa GENTAMYCINE sioni dalili zozote za kuwepo kwa Mechi ya Leo na Mpira ukawa ni wa Kuvutia na Watu ( Mashabiki ) Kuufurahia.
Sawa mkuu hili nilisema toka juzi kuwa mechi haitachezwa
 
Sasa Ni Saa 5 inaenda Saa 6 Mchana na Hali ya Hewa ni ya Mvua, Baridi na Upepo tusidanganyane kuwa Hali ya Hewa hadi Saa 11 Jioni muda wa Mtanange ( Mechi ) hii Mvua itakuwa imekata.

TFF na TPLB nawashauri I msione Aibu au kuingiwa na Uwoga kutangaza muda huu ( mapema hii ) kuwa Mechi ya Simba na Yanga imehairishwa kutokana na Hali ya Hewa mbaya ya Mvua Kubwa zinyeshazo sasa na kwamba ichezwe Jumatano ijayo au ipangiwe tarehe nyingine / mpya ila kwa GENTAMYCINE sioni dalili zozote za kuwepo kwa Mechi ya Leo na Mpira ukawa ni wa Kuvutia na Watu ( Mashabiki ) Kuufurahia.
Tukacheze Mwanza hakuna mbambamba za mvua
 
Pitch ya Kuchezea si nzuri katika Kuchuja, Kuondoa na Kuyakausha kwa haraka Maji yakijaa. Acheni ligi ( ubishi ) wa Kipuuzi wakati Wengine tuna uzoefu wa Familiarization na huo Uwanja kwa Matukio ya Mpira au ya Burudani zingine kama kukiwa na Mvua Kubwa na isoyokatika kwa haraka.

TFF na TPLB ihairisheni hii Derby leo.
Si muliufanyia matengenezo huo?
Nanyie wabongo mida mingine munazingua tu.
 
Sasa Ni Saa 5 inaenda Saa 6 Mchana na Hali ya Hewa ni ya Mvua, Baridi na Upepo tusidanganyane kuwa Hali ya Hewa hadi Saa 11 Jioni muda wa Mtanange ( Mechi ) hii Mvua itakuwa imekata.

TFF na TPLB nawashauri I msione Aibu au kuingiwa na Uwoga kutangaza muda huu ( mapema hii ) kuwa Mechi ya Simba na Yanga imehairishwa kutokana na Hali ya Hewa mbaya ya Mvua Kubwa zinyeshazo sasa na kwamba ichezwe Jumatano ijayo au ipangiwe tarehe nyingine / mpya ila kwa GENTAMYCINE sioni dalili zozote za kuwepo kwa Mechi ya Leo na Mpira ukawa ni wa Kuvutia na Watu ( Mashabiki ) Kuufurahia.
Watagoma tena kama kipindi kileee
 
Ni vyema maboresho mapya ya uwanja yaendane na kuwa na kifuniko au turubai maalumu kwa juu la kufunga na kufungua ili nyakati kama hizi mambo yasiharibike....
 
Back
Top Bottom