GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,647
- 109,036
Sasa Ni Saa 5 inaenda Saa 6 Mchana na Hali ya Hewa ni ya Mvua, Baridi na Upepo tusidanganyane kuwa Hali ya Hewa hadi Saa 11 Jioni muda wa Mtanange ( Mechi ) hii Mvua itakuwa imekata.
TFF na TPLB nawashauri I msione Aibu au kuingiwa na Uwoga kutangaza muda huu ( mapema hii ) kuwa Mechi ya Simba na Yanga imehairishwa kutokana na Hali ya Hewa mbaya ya Mvua Kubwa zinyeshazo sasa na kwamba ichezwe Jumatano ijayo au ipangiwe tarehe nyingine / mpya ila kwa GENTAMYCINE sioni dalili zozote za kuwepo kwa Mechi ya Leo na Mpira ukawa ni wa Kuvutia na Watu ( Mashabiki ) Kuufurahia.
TFF na TPLB nawashauri I msione Aibu au kuingiwa na Uwoga kutangaza muda huu ( mapema hii ) kuwa Mechi ya Simba na Yanga imehairishwa kutokana na Hali ya Hewa mbaya ya Mvua Kubwa zinyeshazo sasa na kwamba ichezwe Jumatano ijayo au ipangiwe tarehe nyingine / mpya ila kwa GENTAMYCINE sioni dalili zozote za kuwepo kwa Mechi ya Leo na Mpira ukawa ni wa Kuvutia na Watu ( Mashabiki ) Kuufurahia.