ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Tff wametengua jina la Dilunga 'Hd' lililotangazwa na Kocha wa timu ya taifa na badala yake kumuweka Mudathir Yahaya kwa kusema kua lilikua limetokea kwa makosa ya kiuandishi...najiuliza hayo majina hadi yanamfikia kocha na anatangaza katika media officially hilo kosa halikuonekana kabla?
Je majina haya yalipendekezwa na Kocha peke yake?au walishirikiana na Tff?
Pamoja na kuomba msamaha Tff lakini ni wakati sasa waongeze umakini katika kuhitinisha mipango yake,bado tunashuhudia hadi leo ligi inafikia mwishoni bado kuna timu hazijakutana.....kuna ulazima wa Tff kujipanga vema na kujiridhisha kabla ya jambo husika kutekelezeka.
Je majina haya yalipendekezwa na Kocha peke yake?au walishirikiana na Tff?
Pamoja na kuomba msamaha Tff lakini ni wakati sasa waongeze umakini katika kuhitinisha mipango yake,bado tunashuhudia hadi leo ligi inafikia mwishoni bado kuna timu hazijakutana.....kuna ulazima wa Tff kujipanga vema na kujiridhisha kabla ya jambo husika kutekelezeka.