rais feki tunae tayari labda feki and expired.Tanzania kila kitu feki, tusubiri tu kupata rais feki,
Tanzania Foods and Drugs
Authority fanyieni hili kazi achaneni na Carolight. Hata lamba lamba na
maji ya matunda ya mzee wetu hapo mmeyafungia macho wakati mnajua yana
madhara kibao.
Yan ni hatari! mm juzi nimezizoa shoprite kibao, inabidi nikirudi nikazichunguze vizuri.acheni kutisha watu me hiyo ndio dawa ninayotumia so unanishauri nikatupilie mbali?duuuh na jana tu ndio nimenunua ile kubwa kubwa!!!!!!!!
Ile wanaita whitedent herbel unaweza ukala na mkate ina sukari balaa.
Makamee umenifurahisha sana. Ina maana wanywa viroba hawawezi kutumia hiyo dawa maana itawatia kichefuchefu. Ila kitu kikishafika JF na kikipata michango kama hii ndo serikali itaamka. Nashukura sana JF maana bila hapa hii nchi ilikuwa ishauzwa yote ingawa sasa imeuzwa indirect kwa Wachina na Waobama.Ile wanaita whitedent herbel unaweza ukala na mkate ina sukari balaa.
Mamlaka ya chakula na dawa tunaomba muichunguze dawa ya whitedent, imekua na athari ya kuunguza mdomo,kupasuka na kuufanya mdomo kupoteza test unapo itumia, nadhani kemikali wanayoitumia siyo nzuri kwa kutumia inaathari,
Tanzania kila kitu feki, tusubiri tu kupata rais feki,
Ile wanaita whitedent herbel unaweza ukala na mkate ina sukari balaa.
sawa kabisa, ndivyo nilivyofanya na mimi. Kwa nini ung'ang'anie kitu unachoona kabisa kuwa kinakuumiza?Inaonekana ni fake hata kama zitatangazwa mara mia kwa siku kwenye station mojaHizo dawa si salama ingawa tunapuuzia,mi pia ilishanitokea nkaacha kutumia,na sasa natumia colgate basi.