Teuzi za kisiasa kwa wanahabari; Tutegemee nini katika tasnia ya habari?

Wimbi la kuwateua waandishi wa habari kushika nyadhifa mbalimbali za uongozi ikiwemo ukuu wa wilaya, mkoa, ubunge, ukurugenzi n.k linazidi kushika kasi tokea awamu ya nne hadi awamu hii ya uongozi.

Tutegemee nini kwa waandishi waliopo au wanaotarajia kuingia katika tasnia hii muhimu ya habari hasa namna ya uandishi, utangazaji na namna ya uripotishaji wao wa habari kupitia vyombo vya habari km vile TV, radio, magazeti na mitandao ya kijamii?

Jamani, hakuna haja ya kukuza mambo pasipo sababu...waandishi wa habari ni watanzania kama ilivyo kwa waliopo kwenye taaluma nyingine...hebu niulize: Teuziza madaktari wa magonjwa ya binadamu kunaashiria nini? Teuzi kwa wasomi wakiwemo madaktari kunaashiria nini? Teuzi kwa wanajeshi kunaashiria nini? Teuzi kwa makada wa CCM kunaashiria nini? Teuzi kwa walioshindwa kwenye uchaguzi kunaashiria nini?.....Teuzi kwa waalimu kunaashiria nini?....
 
Naona wewe ndiye mgeni wa huyo lizaboni, sisi tunamjua nini anafanya na nini anakusudia kufanya,naona wewe unaongelea ID ya lizaboni
Hiyo ID ya Lizaboni ndiyo halisi humu mtandaoni na anachokifanya ndicho kimebeba hiyo sifa niliyoitoa. Afanye chochote katika maisha yake ya kawaida hata kuchoma ofisi za ccm ilimradi humu mtandaoni anakijenga chama ataendelea kuwa na sifa nilizotoa.
 
Nadhani Rais wetu kafanya jambo la maana sana. Godwin Gondwe kateuliwa kwa vile yeye ni mwanasiasa japo ni mtangazaji. Aligombea Ubunge kwa tiketi ya CCM japo kura hazikutosha. Kwenye uteuzi huu wakuu wa wilaya walioteuliwa kutoka kwenye tasnia ya habari ni wawili tu wakati Kikwete aliteua 7. Ni uwakilishi mzuri

Kumbe ukigombea tu ubunge tayari unakuwa mwanasiasa?!
 
Hiyo ID ya Lizaboni ndiyo halisi humu mtandaoni na anachokifanya ndicho kimebeba hiyo sifa niliyoitoa. Afanye chochote katika maisha yake ya kawaida hata kuchoma ofisi za ccm ilimradi humu mtandaoni anakijenga chama ataendelea kuwa na sifa nilizotoa.
Sisi tunamuongelea lizaboni binadamu, wewe unaishangilia ID?
 
Nadhani Rais wetu kafanya jambo la maana sana. Godwin Gondwe kateuliwa kwa vile yeye ni mwanasiasa japo ni mtangazaji. Aligombea Ubunge kwa tiketi ya CCM japo kura hazikutosha. Kwenye uteuzi huu wakuu wa wilaya walioteuliwa kutoka kwenye tasnia ya habari ni wawili tu wakati Kikwete aliteua 7. Ni uwakilishi mzuri
Mkuu kuna machungwa yako hapa ya buku, nakuletea kama pole hapo hospital.
 
Jamani, hakuna haja ya kukuza mambo pasipo sababu...waandishi wa habari ni watanzania kama ilivyo kwa waliopo kwenye taaluma nyingine...hebu niulize: Teuziza madaktari wa magonjwa ya binadamu kunaashiria nini? Teuzi kwa wasomi wakiwemo madaktari kunaashiria nini? Teuzi kwa wanajeshi kunaashiria nini? Teuzi kwa makada wa CCM kunaashiria nini? Teuzi kwa walioshindwa kwenye uchaguzi kunaashiria nini?.....Teuzi kwa waalimu kunaashiria nini?....
Hao wote ni wafuasi na waumini wa ccm
 
Jamani, hakuna haja ya kukuza mambo pasipo sababu...waandishi wa habari ni watanzania kama ilivyo kwa waliopo kwenye taaluma nyingine...hebu niulize: Teuziza madaktari wa magonjwa ya binadamu kunaashiria nini? Teuzi kwa wasomi wakiwemo madaktari kunaashiria nini? Teuzi kwa wanajeshi kunaashiria nini? Teuzi kwa makada wa CCM kunaashiria nini? Teuzi kwa walioshindwa kwenye uchaguzi kunaashiria nini?.....Teuzi kwa waalimu kunaashiria nini?....
Walio wengi walikuwa ni wagombea ubunge kupitia ccm wakapigwa chini
 
Back
Top Bottom