Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Una uhakika mke wa mwinyi hayupo Dodoma?
jana bungeni walikuwepo wake wawil wa mwinyi na wake wawili wa bilali
Una uhakika mke wa mwinyi hayupo Dodoma?
jana bungeni walikuwepo wake wawil wa mwinyi na wake wawili wa bilali
hao wengine usiulize kabisa. katika tano ujue wamekatwa 33. Sumaye ananafas ya kukatisha?Habari za Lowasa kukatwa zina uhakika kiasi gani? Yaani ina maana Sumaye ameogopwa zaidi ya EL?
amepanga vyumba vingapi huko dodoma? 1,2 au3.
Tusibili kuchimbika km alivyosema kingunge
Ameamua kurudi monduli kuchunga mbuzi,
Sasa mfateni mkanywe maziwa ya mbuzi.
kumbe Bilal anawake2; da CCM itakuwa imempangia vyumba 2; TUTAMKUMBUKA KIKWETE yeye alikuwa anabeba mke 1 tujana bungeni walikuwepo wake wawil wa mwinyi na wake wawili wa bilali
kumbe Bilal anawake2; da CCM itakuwa imempangia vyumba 2; TUTAMKUMBUKA KIKWETE yeye alikuwa anabeba mke 1 tu
"Patachimbika" by Kingunge
Inasikitisha sana jamani...!! Mzee wa watu kakatwa kwelii.!
"Patachimbika" by Kingunge
Lowasa akienda ACT tutaenda nae.. Hatuwezi kumtosa mkombozi wetu. Lowasa ni chaguo la Mungu.