Tetesi: Wanachama zaidi wazidi kuihama CHADEMA

Tetesi: Wanachama zaidi wazidi kuihama CHADEMA

Jang Bo Go

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2011
Posts
854
Reaction score
253
Habari nilizozipata ni kuwa baada ya hotuba ya Dr. Slaa aliyoitoa ya kujiondoa kwake CHADEMA pamoja na kueleza sababu mbalimbali zilizomfanya atoke, kuna baadhi ya wanachama wa CHADEMA wameamua kujiondoa kwenye chama hicho.

Hiyo imetokea Mbeya wilayani Mbozi, taarifa zaidi zinasema wanachama zaidi ya 20 wamejivua uanachama wa CHADEMA na wameamua kujiunga na chama cha mapinduzi na watatambulishwa rasmi siku ya jumamosi, tarehe 5 kwenye mkutano mkubwa wa kampeni za CCM wilayani hapo.

Tusubiri jumamosi kujua hali halisi ya mambo.
 
Habari nilizozipata ni kuwa baada ya hotuba ya Dr. Slaa aliyoitoa ya kujiondoa kwake CHADEMA pamoja na kueleza sababu mbalimbali zilizomfanya atoke, kuna baadhi ya wanachama wa CHADEMA wameamua kujiondoa kwenye chama hicho.

Hiyo imetokea Mbeya wilayani Mbozi, taarifa zaidi zinasema wanachama zaidi ya 20 wamejivua uanachama wa CHADEMA na wameamua kujiunga na chama cha mapinduzi na watatambulishwa rasmi siku ya jumamosi, tarehe 5 kwenye mkutano mkubwa wa kampeni za CCM wilayani hapo.

Tusubiri Jumamosi kujua hali halisi ya mambo.

Tunawatakia safari njema hata wakitaka tuwasindikize na kigodoro tutafanya hivyo au ule wimbo wa anameeereemeetaaa
 
Hao sio wanachama wa CDM, ni wa CCM wanacheza maigizo. Hatudanganyikiii.... :wink:
kwanini watanzania mna akili za kushikiwa kiasi hiki mtu akihama ccm kwenda chadema mnasema ni haki yake lakini akihama chadema kwenda ccm mnasema msaliti mara maigizi, msiwe na mahaba ya kupitiliza hivo mtashindwa hata kulea hata watoto wenu.
 
kwanini watanzania mna akili za kushikiwa kiasi hiki mtu akihama ccm kwenda chadema mnasema ni haki yake lakini akihama chadema kwenda ccm mnasema msaliti mara maigizi, msiwe na mahaba ya kupitiliza hivo mtashindwa hata kulea hata watoto wenu.
Kwa sababu inakuwa ajabu maji kutoka Ziwani kurudi kwenye kijito. CDM/UKAWA ni kijito, inakuwaje CCM/Ziwa likionee wivu kijito na kuendelea kukinyng,anya maji kidogo yaliyopo !!!
 
Habari nilizozipata ni kuwa baada ya hotuba ya Dr. Slaa aliyoitoa ya kujiondoa kwake CHADEMA pamoja na kueleza sababu mbalimbali zilizomfanya atoke, kuna baadhi ya wanachama wa CHADEMA wameamua kujiondoa kwenye chama hicho.

Hiyo imetokea Mbeya wilayani Mbozi, taarifa zaidi zinasema wanachama zaidi ya 20 wamejivua uanachama wa CHADEMA na wameamua kujiunga na chama cha mapinduzi na watatambulishwa rasmi siku ya jumamosi, tarehe 5 kwenye mkutano mkubwa wa kampeni za CCM wilayani hapo.

Tusubiri jumamosi kujua hali halisi ya mambo.

Hiyo ndo takwim ilifanywa na chadem wanaotoka ni wachache walioingia ni wengi, hakuna shida
 
CCM inatengeneza wanachama feki ili wajaribu kupotosha watu. CDM ina supporters wengi mno, ambao wameweka vichinjio vyao ili kuiondoa CCM madarakani hapo October 25.

Mbinu zote chafu za kudhoofisha fikra mpya ilio ndani ya vichwa vya watanzania kwa wakati huu, ishindwe, na ikakamae.
 
Hao hawakuwa wana Chadema, hao walikuwa wafuasi wa Padri mvunja nadhiri (kumradhi)... Wanachama wa kweli tutabakia hata mbowe akihamai ccm.
 
Habari nilizozipata ni kuwa baada ya hotuba ya Dr. Slaa aliyoitoa ya kujiondoa kwake CHADEMA pamoja na kueleza sababu mbalimbali zilizomfanya atoke, kuna baadhi ya wanachama wa CHADEMA wameamua kujiondoa kwenye chama hicho.

Hiyo imetokea Mbeya wilayani Mbozi, taarifa zaidi zinasema wanachama zaidi ya 20 wamejivua uanachama wa CHADEMA na wameamua kujiunga na chama cha mapinduzi na watatambulishwa rasmi siku ya jumamosi, tarehe 5 kwenye mkutano mkubwa wa kampeni za CCM wilayani hapo.

Tusubiri jumamosi kujua hali halisi ya mambo.


Hao si wanachama Wa masaburi watarudi mwezi Wa kumi Lowassa atakapofunguka
 
Habari nilizozipata ni kuwa baada ya hotuba ya Dr. Slaa aliyoitoa ya kujiondoa kwake CHADEMA pamoja na kueleza sababu mbalimbali zilizomfanya atoke, kuna baadhi ya wanachama wa CHADEMA wameamua kujiondoa kwenye chama hicho.

Hiyo imetokea Mbeya wilayani Mbozi, taarifa zaidi zinasema wanachama zaidi ya 20 wamejivua uanachama wa CHADEMA na wameamua kujiunga na chama cha mapinduzi na watatambulishwa rasmi siku ya jumamosi, tarehe 5 kwenye mkutano mkubwa wa kampeni za CCM wilayani hapo.

Tusubiri jumamosi kujua hali halisi ya mambo.
Hizo propaganda mfu zinawafaa wenyewe na chama chenu.
Movie yenu ime-fail bado tu mnahangaika kuiuza, haiuziki hiyo mnapoteza mda wenu na rasilimali zenu bure.
Watz wamewazibia masikio bado nyie mnajifanya wabishi tu.
Hao vijana wenu mnaowadanganya hatuna habari nao, mwisho wa siku hao vijana nao watawageuka.
 
Tunasubiri zile assets zije. Kwanini wamechelewa kiasi hiki?
 
Wanachama wa chadema wakihama. Inageuzwa wanasema ni wana ccm. Ila wanaccm wakihama inaonekana ni kweli. Mbonaa hamtaki kukosolewa
 
Hao sio wanachama wa CDM, ni wa CCM wanacheza maigizo. Hatudanganyikiii.... :wink:


WANACCM bana ,wanaingia na kutoka,CCM itaendelea kuwapa hela lakini mkienda CCM msisahau kura maana ni siri yenu.

CCM watumieni vizuri na mchagueni Masaburi awe mwenyekiti wa kuratibu hilo zoezi
 
tulishafanya maamuzi ya kuipigia kura ukawa.hakuna porojo zozote zinazoweza kubadili kubadili huo msimamo.
 
kwanini watanzania mna akili za kushikiwa kiasi hiki mtu akihama ccm kwenda chadema mnasema ni haki yake lakini akihama chadema kwenda ccm mnasema msaliti mara maigizi, msiwe na mahaba ya kupitiliza hivo mtashindwa hata kulea hata watoto wenu.


Yaani sijui wamefanywa nini hawa watu, au tu wanaamua kujitoa akili wenyewe. Watu timamu wamekaa wamemsikiliza

Dr. Slaa na wakaona chama kimeuzwa kwa wenye kuitaka ikulu kwa nguvu zote, ndio hivyo wakaamua bora hata wajitoe

kwenye hiki chama kinachofanyiwa maamuzi na Mbowe na mkwewe.
 
Habari nilizozipata ni kuwa baada ya hotuba ya Dr. Slaa aliyoitoa ya kujiondoa kwake CHADEMA pamoja na kueleza sababu mbalimbali zilizomfanya atoke, kuna baadhi ya wanachama wa CHADEMA wameamua kujiondoa kwenye chama hicho.

Hiyo imetokea Mbeya wilayani Mbozi, taarifa zaidi zinasema wanachama zaidi ya 20 wamejivua uanachama wa CHADEMA na wameamua kujiunga na chama cha mapinduzi na watatambulishwa rasmi siku ya jumamosi, tarehe 5 kwenye mkutano mkubwa wa kampeni za CCM wilayani hapo.

Tusubiri jumamosi kujua hali halisi ya mambo.

Maigizo hayo, eti mnataka kutuaminisha, hahahaaa... kweli magamba mmeshikwa pabaya aise
 
Back
Top Bottom