Tetesi: Wanachama zaidi wazidi kuihama CHADEMA

Tetesi: Wanachama zaidi wazidi kuihama CHADEMA

Habari nilizozipata ni kuwa baada ya hotuba ya Dr. Slaa aliyoitoa ya kujiondoa kwake CHADEMA pamoja na kueleza sababu mbalimbali zilizomfanya atoke, kuna baadhi ya wanachama wa CHADEMA wameamua kujiondoa kwenye chama hicho.

Hiyo imetokea Mbeya wilayani Mbozi, taarifa zaidi zinasema wanachama zaidi ya 20 wamejivua uanachama wa CHADEMA na wameamua kujiunga na chama cha mapinduzi na watatambulishwa rasmi siku ya jumamosi, tarehe 5 kwenye mkutano mkubwa wa kampeni za CCM wilayani hapo.

Tusubiri jumamosi kujua hali halisi ya mambo.



Hii Dunia ina kila aina ya viumbe, Kuna pia binadamu wajinga na binadamu werevu, so watu hao hupimwa kwa matendo Yao kama hayo hapo juu.
 
cc ukawa hatujitoi,wanaojitoa ni CCM na tunawajua
 
Tutawapa na usafiri kabisaa wawai kufika magambani. Magamba wanatapatapa Cdm oyeeeeeeeeeeeeeh
 
Nikiwaambia watu kuwa CCM inamuogopa Lowasa
 
Tatizo la ccm ni kupelekeshwa na mwigulu na mbinu za kizamani kabisa nashanga sana jitu limetokea iramba huko linajifanya linajua kila kitu.
 
Habari nilizozipata ni kuwa baada ya hotuba ya Dr. Slaa aliyoitoa ya kujiondoa kwake CHADEMA pamoja na kueleza sababu mbalimbali zilizomfanya atoke, kuna baadhi ya wanachama wa CHADEMA wameamua kujiondoa kwenye chama hicho.

Hiyo imetokea Mbeya wilayani Mbozi, taarifa zaidi zinasema wanachama zaidi ya 20 wamejivua uanachama wa CHADEMA na wameamua kujiunga na chama cha mapinduzi na watatambulishwa rasmi siku ya jumamosi, tarehe 5 kwenye mkutano mkubwa wa kampeni za CCM wilayani hapo.

Tusubiri jumamosi kujua hali halisi ya mambo.
#HapaKaziTu
 
Zitaendelea kuwa tetesi tu,ila habari ya mjini ni yule ambaye miaka nenda rudi wanamuita mwizi ila mahakamani hawampeleki
 
Zitaendelea kuwa tetesi tu,ila habari ya mjini ni yule ambaye miaka nenda rudi wanamuita mwizi ila mahakamani hawampeleki

Baada ya kuapishwa Rais Magufuri atashughulikia swala lako nadhani.
 
Napenda kutangaza rasmi kwa niaba ya watanzania wote nimemsamehe LOWASSA na nampa kura yangu
 
Back
Top Bottom